Thursday, November 29, 2012
UKISTAAJABU YA MUSA UTAYAONA YA FIRAUN BARABARA YA LAMI KUJENGWA KUKALABATIWA KWA KIFUSI CHA VUMBI
BARABARA LAMI ITOKAYO META KWENDA STENDI KUU YA MABASI JIJINI MBEYA YAENDELEAKUZIBWA VILAKA KWA KIFUSI CHA VUMBI
ILI KUIPA UIMARA INAMWAGILIWA NA MAJI KAMA ALIVYOKUTWA MAMA HUYU NA MPIGA PICHA WETU
WAKATI HUOHUO MAGARI MAKUBWA YANAPITA NA KUVUMUA VILAKA HIVYO VYA VUMBI
Monday, November 26, 2012
LOWASA SI TAJIRI WA FEDHA BALI WATU
WAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa, amesema kuwa hana utajiri wa fedha bali wa watu.
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, alisema hayo jana katika Kanisa la Moravian Tanzania Usharika wa Ruanda, wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa hosteli ya wanachuo wa kike wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji mkoani Mbeya.
Ambapo yeye alichangia shlilingi milioni ishilini na tano pia zaidi ya shilingi milioni hamsini zilipatikana katika changizo hilo
LOWASA AKIWASILI UWANJA WA NDEGE ULIOPO MWNJELWA JIJINI MBEYA
BABA ASKOFU WA KAINASA LA MORAVIANI TANZANIA JIMBO LA KUSINI MAGHARIBI ALINIKISA CHEYO AKISALIMIANA NA LOWASA MARA BAADA YA KUFIKA UWAJANI
VINGOZI WA KANISA PAMOJIA NA SERIKALI WAKIMPOKEA WAZIRI MSTAAFU LOWASA MARA BAADA YA KUWASILI UWANJANI HAPO
KWAYA YA VIJANA MBEYA MORAVIANI TOWN CHOIR WAKIMSUBIRI MGENI RASMI LOWASA KATIKA UWANJA WA NDEGE MWANJELWA
KUSHOTO NI MKUU WA WILAYA YA RUNGWE CHISPIN MEELA NA LOWASA WAKISAINI KITABU CHA WAGENI KATIKA OFISI ZA MCHUNGAJI KATIKA KANISA LA MORAVIANI RWANDA
KULIA NI ASKOFU ALINIKISA CHEYO AKIWAPA KITABU CHA KUSAINI WAGENI OFISINI KWA MCHUNAJI WA USHIRIKA WA RWANDA
PARADISE KWAYA WAKIIMBA WIMBO KUMKARIBISHA LOWASA |
KWAYA YA VIJANA NZOVWE OKULI KWAYA WAKIIMABA KATIKA IBAADA YA UCHANGIAJI WA OSTELI
LOWASA AKIMWAMBIA KITU MC CHARLEA MWAKIPESILE KWABRA YA KUWAHUTUBIA WAUMINI KATIKA IBAADA PALE RWANDA
BAADHI YA WAANDISHI WA HABARI WALOFIKA KUMSIKILIZA LOWASA
LOWASA AKIWAHUTUBIA WAUMINI KATIKA KANASA LA MORAVIANI RWANDA |
VIONGIOZI WAKIMSINDIKIZA LOWASA ALIPOKUWA AKIONDOKA MARA BAADA YA KUMALIZA IBAADA YA UCHANGIAJI
LOWASA AKIMPONGEZA MC CHARLES MWAKIPESILE KWA KUENDESHA SHUGHURI VIZURI HIYO HARAMBEE YA UCHANGIAJI WA HOSTEL
Sunday, November 25, 2012
Friday, November 23, 2012
TANZANIA NCHI ILIYOBARIKIWA YENYE ASALI NAYO MAZIWA KAMA EDENI YA MUNGU
WA MAMA WAJAWAZITO WAKISUBIRIA KUJIFUNGUA
Nahii ndiyo nchi yenye asali nayo maziwa kama vile migodi ya madini dhahabu mengene yasiyopatikana duniani kote makaa ya mawe, ges, bandali, mbuga za wanyama na mengine unayoyafahamu wewe lakini hii ndiyo hali ya wananchi wake
Nahii ndiyo nchi yenye asali nayo maziwa kama vile migodi ya madini dhahabu mengene yasiyopatikana duniani kote makaa ya mawe, ges, bandali, mbuga za wanyama na mengine unayoyafahamu wewe lakini hii ndiyo hali ya wananchi wake
Thursday, November 22, 2012
WAVAMIZI WA MACHIMBO YA KOKOTO UYOLE YATISHIA USALAMA WA MAISHA YAO
Baadhi ya vijana wanao chimba kokoto maeneo ya Uyole jijini mbeya kwa kutumia zana zisozo rasmi kwa kazi hiyo wapo hatarini kuhatalisha maisha yao ya kuangukiwa na vifusi vya mawe.
Kwamjibu wa
uchunguzi ulio fanywa na mwandishi wa blog hii umebaini kuwa, wachimbaji hao
wanatumia njia ya kuchoma moto mataili ya magari kwa ajili ya kuyalainisha mawe
hayo ili kuwarahisishia kupasua.
Wasiwasi
mkubwa unakuja pale ambapo vijana hao wanaingia chini ya shimo la kuchimba
kokoto huku ukuta ukiwa na ufa mkubwa ambao muda wote unaweza kupolomoka na
kuhatalisha kifo.
HII NDIYO HALI HARISI YA UCHIMBAJI WA KOKOTO MAARUFU KAMA SHIMONI HUKO UYOLE JIJINI MBEYA
HATARI YA MACHIMBO HAYO YANAYOZALISHA KOKOTO ZINAZOTUMIKA KATIKA KUJENGA MAJENGO YA JIJI LA MBEYA
BAADA YA KUZALISHWA TAYALI KWA MATUMIZI YA UJENZI
Nitumaini langu machimbo hayo yanajulikana na maraka husika lakini yatachukuliwa hatua sitahiki mala baada ya kutokea maafa kwakua ndiyo destuli ya waliopewa dhamana wa nchi hii
Sunday, November 18, 2012
RILO LA MIZIGO LAANGUKA HUKO CHUNYA NA KUSABABISHA UHARIBIFU WA MALI
ROLI AINA YA SCANIA LILILOKUWA LIMEBEBA MKAA LIKIWA LIMETOKEA CHUNYA KUELEKEA MBALIZI MJI MDOGO MJINI MBEYA LILIANGUKA MAENEO YA KANGA
AJARI NYINGINE SAE JIJINI MBEYA
Uharibifu hu wa mali na kupoteza maisha ya wanadamu unaoendelea kila kuitwapo leo kutaisha lini? kwani uzembe na kujiamini kwa baadhi ya madereva kumekua kukigharimu mkaisha na upotevu ma mali kutokana
na ajari za kila siku ambazo wakati mwingine zinaweza kuipukika ni kwanini lakini watu wamekua hajihurumii kwa kasababisha ajari kama unavyo ona ajari hii iliyosababishwa na ulevi tu maeeneo ya sae jijini mbeya
HIVI NDIVYO ILIVYOTOKEA AJARI HIYO MAENEO YA SAE
na ajari za kila siku ambazo wakati mwingine zinaweza kuipukika ni kwanini lakini watu wamekua hajihurumii kwa kasababisha ajari kama unavyo ona ajari hii iliyosababishwa na ulevi tu maeeneo ya sae jijini mbeya
HIVI NDIVYO ILIVYOTOKEA AJARI HIYO MAENEO YA SAE
Subscribe to:
Posts (Atom)