Pages

Ads 468x60px

Friday, August 29, 2014

Watu 10 wamepoteza maisha na wengine saba wamejeruhiwa vibaya

Wakiwepo watoto wachanaga wawili katika ajali ya basi dogo aina ya Hiace na Roli la mizigo katika maeneno ya mji mdogo mbalizi Nje kidogo ya jiji la Mbeya



                              Roli la mizigo na Toyota Hiace magari yaliyosababisha ajali







        Roli la mizigo lilivyo baada ya baada ya ajali na lina milikiwa na Aledy chakachaka wa mbeya







NAIMA ITUGA MKAZI WA SIMIKE NA ANAFANYA SHUGHULI ZAKE SONGWE VIWANDANI AKIKIMBIZWA KUPATA MATIBABU ZAIDI




BAADHI YA MAJERUHI WAPATIWA RUFAA KUPELEKWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA



                                                                     TAHADHALI






KAMA HAUTAWEZA KUVUMILIA KUANGALIA PICHA ZA MIILI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA USISHUKE CHINI.































TUNAOMBA RADHI WAPENZI WETU WA BLOG HII KWA PICHA ZITAKAZOTUMIKA  HAPA KATIKA HABARI HII KWAKUA ZIMEHALIBIKA VIBAYA KAMA HUWEZI KUZITAZAMA USIENDELEE KUSHUKA CHINI

                       BAADHI YA WATU WALIOKUFA WAKIWEPO WATOTO WAWILI WADOGO


MIILI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA AJILI HIYO IKIWA KATIKA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI KATIKA HOSPITSLI TEULE YA MBALIZI


                                                       HABARI KAMILI YA TUKIO


 
WATU 10 wamefariki dunia papo hapo na wengine saba kujeruhiwa vibaya, baada ya basi dogo aina ya Toyota hiace walilokuwa wakisafiria kuparamia Lori, maeneo ya mji mdogo wa mbalizi barabara kuu ya Tanzania na Zambia

Tukio hilo lilitokea majira ya saa 11.30 ambapo Toyota Hiace lenye namba za usajili  T237 BFB , ililokuwa ikitokea Mwanjelwa kwenda  katika mji mdogo wa Mbalizi kulipalamia roli la mizigo lenye namba za usajili T158 CSY aina ya tata

Taarifa kutoka kwa mashuhuda wa ajili hiyo, zinadai kuwa huenda daladala hiyo ilikuwa imepata hitilafu katika mfumo wa breki wakati likishuka katika mteremko mkali wa mlima Iwambi, ambapo lilienda kuliparamia roli lililokua likitokea upandea wapili na kuingia barabar kuu.

“Wote, Dereva wa Daladala na roli wanaweza wakawa na makosa, kwani haiwezekani ukaingia barabarani bila kuangalia, huku naye wa daladala alipaswa kupunguza mwendo….sasa  hapa wote wanapaswa kulaumiwa” alisema shuhuda ambaye hakuwa tayari jina lake litajwe

Muuguzi Mkuu wa Hospitali teule ya Ifisi, Sikitu Mbilinyi, alithibitisha kutokea kwa vifo hivyo. kifafanua zaidi, Mbilinyi alisema walianza kupokea miili ya marehemu hao na majeruhi majira ya saa 6:30, ambapo baadhi ya majeruhi walipewa rufaa na kupelekwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya.

Hata hivyo alisema, ingawa hawakuweza kupata majina ya marehemu, walipokea maiti 10 kati yao, wanaume walikuwa wanne na wanawake wanne, huku maiti za watoto wadogo walioonekana kuwa chini ya miaka mitano zikiwa mbili.

Aliongeza kuwa, kwa upande wa majeruhi walikuwa saba, ambapo kati yao wanawake walikuwa wanne na wanaume watatu.

“Kati ya majeruhi hao saba , watatu hali zao zilikuwa mbaya sana na tukaamua kutoa rufaa na walikimbizwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya kwa ajili ya matiabu zaidi” alifafanua Mbilinyi.

Aidha, baadhi ya madereva wa daladala waliofika hospitalini waliweza kumtambua dereva wa Dalada hilo, ambaye ni miongoni mwa watu 10 waliofariki dunia katika ajali hiyo  na kumtaja kwa jina la Petro Mng’ong’o.

Naye kondakta wa daladala hiyo, ambaye amejeruhiwa vibaya amejulikana kwa jina la Justin Chaula (28), Mkazi wa Mabatini, Jijini Mbeya.

Mmoja wa majeruhi hao, ambaye hata hivyo hakuwa tayari  kuzungumza chochote, alijitambulisha kwa jina la  Naima Ituga, Mkazi wa Simike, Jijini hapa na alikuwa akielekea kazini kwake maeneo ya Viwandani Songwe.

Mwisho.







Sunday, August 24, 2014

TANGAZO TANGAZO TANGAZO KWA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA NA VIUNGA VYAKE

JE UNATAFUTA NYUMBA YA KUPANGA? INAYO KWENDA NA WAKATI? NA YENYE BEI NAFUU? BASI JIBU LAKO HILI HAPA NYUMBA INAPANGISHWA
                             MUONEKANO WA NYUMBA YENYEWE KWA NYUMA ILIVYO
                                  MUONEKANO WA NYUMBA ILIVYO MBELE
                                  CHUMBA KIMOJA NI SELF CONTENED

                                    SAKAFU NA DALI ILIVYO KATIKA VYUMBA
                  COLDOR KUELEKEA VYUMBANI UKITOKEA NJE NA KUINHIA SEBULENI
                                 JIKONI NA SEHEMU YA CHAKULA JINSI ILIVYO
                                                               SEBULENI ILIVYO
                              INA GETI NA UWANJA MKUBWA WA KUEGESHA MAGARI

Saturday, August 23, 2014

Live toka ukumbi wa mtenda jijino Mbeya: Uzinduzi wa Kampeni za kusambaza uelewa wa Rasmu ya pili ya katiba kwa wananchi

Ambao umeletwa na kituo cha usaidizi wa sheria na haki za binadamu (LHRC) na kuzinduliwa na wakili wa kujitegemea Victor Mkumbe
Wakili wa kujitegemea Victor Mkumbe akifungua mdaharo huo ndani ya ukumbi wa mtenda jijini mbeya

                          Wanasheria wakiwa meza kuu pamoja na mgeni Rasmi katika mdaharo huo










                     Wananchi kwa wingi wajitokeza katika mdaharo wakiwa ndani ya ukumbi wa mtenda



              Mtaalamu wa lugha za alama Faraja Mbwilo akiwafafanulia wenyeulemavu wa kusikia





Baadhi ya wananchi wakilopata nafasi ya kuchangia mada ya rasmu ya pili wakitoa maoni yao
 Wakili Godfrey Mpandikizi kutoka kituo cha sheria na haki za binadamu
                                 Mwanasheria Lengai Merinyo kutoka kituo cha haki za binadamu
                               
Wakili Elibariki Maeda kutoka kituo cha sheria na haki za binadamu

                                                             Rose Lugakingira
                        Mc Rose Ngunangwa akiongoza mjadala katika mdahalo huo

Machapisho mbalimbali ya Rasmu ya pili ya katiba yakiwa katika vitabu, majarida, cd Flash na memory cad
                       Rose Lugakingira akionesha machapisho mbalimbali ya rasmu ya pili ya katiba
 Mgeni rasmi wa mkutano huo wakili wa kujitegemea Victory Mkumbe akiongea kitu kabla ya kuzindua machapisho hayo,

Mgeni rasmi Victoy Mkumbe akizindua machapisho ya Rasmu ya katiba ya pili katika kampeni za kusambaza uelewa kwa wananchi nyanda za juu kusini