Pages

Ads 468x60px

Wednesday, January 21, 2015

Masoko yafungwa jijini mbeya zaidi ya masaa kumi, kupinga mwenyekiti wa soko la Soweto kushikwa na viongozi wa halmashauri ya jiji na kupelekwa mahakamani.



Mwenyekiti wa soko la Soweto jijini Mbeya ONOLA MBOGERA miaka (36) amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kushawishi wafanya biashara wa soko hilo kugoma kulipa ushuru.

Akiongea mmoja wa wafanya biashara hao Emani kaloti amesema wamefikia uwamuzi huo kutokana na halmashauri ya jiji kushindwa kuwatimizia maombi yao, ikiwepo kufanya usafi katika soko hilo 
 pamoja na ubovu wa miundombinu japo wao huto ushuru huo kila siku.

Kwaupande wake mkurugenzi wa halmashauri hiyo MUSA ZUNGIZA amekili kuwepo kwa tukio hilo lakini amesema wamekaa na viongozi wao na kufikia muafaka kisha kufuta kesi mahakamani.  

 Mwenyekiti wa soko la soweto ONELA MBOGERA akisubili dhamana katika mahakama ya mwanzo Mbeya mjini






Baadhi ya wafanya biashara wakiwa eneo la mahakama akisubilia hatima ya mwenyekiti wao



Mwenyekiti wa masoko mkoani Mbeya Charles syonga akiongea na wafanya biashara juu ya makubaliano waliyofikia na Halmashauri ya jiji


                                 Wafanya biashara wakisikiliza kwa makini makubaliano ya viongozi wao

Thursday, January 8, 2015

HOT NEWS: SAJENTI WA POLISI AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI NDANI YA KITUO CHA POLISI USIKU WA MANANE

Sajenti Patrick Kondwa(54) anayedaiwa kujiua kwa kujipiga risasi ndani ya kituo cha Polisi Vwawa Mboz
Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika Kota za Polisi Vwawa nyumbani kwa marehemu Sajent Patrick leo mchana




Habari kamili juu ya tukio zima la kujiua kwa Sajenti Patrick Kongwa zitakujia hapa hapa...Fuatilia

Picha zote kwa Hisani ya Mkwinda Blog