Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi akionesha Bunduki SMG kwa waandishi wa Habari
Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi akionge jambo kwa wana habari
Wanahabari wakipata taarifa kwa kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi
Mwandishi wa Habari Felix Mwakyembe akiuliza swali
Baada ya Taarifa Kamanda Msangi kulia amekabidhi ofisi kwa Rpc Mpya Justus Kamugisha
Rpc Mpya wa Mkoa wa Mbeya Justus Kamugisha akiongea jambo kwa wana habari baada ya kukabidhiwa ofisi
Mrakibu mwandamizi wa Polis mpya Benjamini Kuzaga aksema neno kwa wanahabari
Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi akionge jambo kwa wana habari
Wanahabari wakipata taarifa kwa kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi
Mwandishi wa Habari Felix Mwakyembe akiuliza swali
Baada ya Taarifa Kamanda Msangi kulia amekabidhi ofisi kwa Rpc Mpya Justus Kamugisha
Rpc Mpya wa Mkoa wa Mbeya Justus Kamugisha akiongea jambo kwa wana habari baada ya kukabidhiwa ofisi
Mrakibu mwandamizi wa Polis mpya Benjamini Kuzaga aksema neno kwa wanahabari
HABARI
MNAMO
TAREHE 18.04.2016 MAJIRA YA SAA 03:00 USIKU HUKO KATIKA KIJIJI
CHA MALAMBO, KATA YA RUIWA, TARAFA YA ILONGO, WILAYA YA MBARALI, MKOA WA MBEYA.
WATU WANAOSADIKIWA KUWA MAJAMBAZI AMBAO IDADI YAO HAIKUWEZA KUFAHAMIKA MARA
MOJA WALIFIKA NYUMBANI KWA GERVAS LAZARO
[56] MFANYABIASHARA NA MKE WAKE AITWAE WITNESS
MWAKALENGA [50] WOTE WAKAZI WA MALAMBO KWA LENGO LA KUFANYA UHALIFU WA
KUJARIBU KUNYANG’ANYA KWA KUTUMIA SILAHA.
HATA
HIVYO KUTOKANA NA KUWEPO KWA TAARIFA ZA SIRI KUHUSIANA NA NJAMA NA MPANGO HUO,
ASKARI POLISI WALIKUWA TAYARI ENEO HILO LA TUKIO ILI KUWEZA KUKABILIANA NA
MAJAMBAZI HAO.
KATIKA
KUKABILIANA NA MAJAMBAZI HAO, BAADHI YA ASKARI WALIIMARISHA ULINZI ENEO HILO NA
KUFANIKIWA KUPATA PIKIPIKI YENYE NAMBA ZA USAJILI T.913 CGF AINA YA T-BETTER
RANGI NYEKUNDU AMBAYO ILIKUWA IKITUMIWA NA MAJAMBAZI HAO. BAADA YA UCHUNGUZI PIKIPIKI
HIYO ILIBAINIKA KUWA NA INJINI NAMBA ZJ16ZFNJC2512944
NA CHASSES LZEPCKLASCL812905 AMBAYO ILITELEKEZWA NA MAJAMBAZI HAO BAADA YA
KUONA POLISI WAMEDHIBITI ENEO HILO.
HATA
HIVYO POLISI KWA KUSHIRIKIANA NA WANANCHI WA ENEO HILO WALIENDELEA KUWAFUATILIA
MAJAMBAZI HAO NA KUFANIKIWA KUPATA SILAHA MOJA AINA YA SMG NAMBA UA 2911997 PAMOJA NA RISASI 27 KWENYE MAGAZINE. AIDHA KATIKA
ENEO HILO LA TUKIO AMBALO ILIKUTWA SILAHA HIYO PIA ILIKUTWA KOFIA MOJA YA
KUFICHA SURA [MZURA] ILIYOTELEKEZWA NA MAJAMBAZI HAO KABLA YA KUKIMBILIA
PORINI.
KWA
SASA MSAKO /DORIA INAENDELEA MAENEO YA PORI LA NARCO LILILOPO KATI YA WILAYA YA MBARALI NA CHUNYA, AMBAPO KIKOSI
KAZI CHA ASKARI WA WILAYA HIZO WAMEUNGANA ILI KUWASAKA MAJAMBAZI HAO KWA AJILI
YA KUWAKAMATA. AIDHA TARATIBU ZIMEFANYWA ZA KUSHIRIKISHA VIONGOZI WA VIJIJI
VILIVYOPO MAENEO JIRANI NA MSITU HUO ILI KUSAIDIANA KUWAPATA MAJAMBAZI HAO.
MWISHO
0 comments:
Post a Comment