Pages

Ads 468x60px

Wednesday, November 7, 2012

MALAFYALE ENTERTAINMENT YATOA ZAWADI ZAIDI YA MILIONI MOJA NA LAKITANO KWA WASHINDI WA NYIMBO ZA INJILI KATIKA SHINDANO LA TIMIZA NDOTO YAKO


Ni jumapili hii katika ukumbi wa mtenda ambapo lilifanyika shindano hilo la nyimbo za injili  lililozikutanisha zaidi ya kwaya na band zisizopungua alobaini

Katika shindano hilo MATHA MTWALE band kutoka simike waliibuka mshindi kwa kupata kura 2300 na kujitwalia kitita cha shilingi milioni moja na mshindi wa pili SEVEN MIRACLE band waliopo isanga walipata kura 2100 na kujinyakulia kiasi cha shilingi Lakitatu na mshindi wa tatu alikuwa ni KINGDOM CHOIR kutoka kanisa la moraviani ushurika wa mbeya mjini ambao walijinyakulia kiasi cha shingi Laki mbili.

Shindano hili ambalolili ambatana na tamasha kubwa  liliandaliwa na kampuni ya MALAFYALE ENTERTAINMENT lenye lengo la kuahamasisha na kukuza vipaji vya waimbaji wa nyimbo za injili lakini pia kuunga mkono jitihada zao na shinda la tatu mfurulizo kila mwaka huandaliwa na kuwapatia zawadi kwa wale wanaoibuka kua washindi

Tamasha hilo lilipambwa na waimbaji  maarufu kutoka jijini Dar es salam kama vile Enock mzee wa zunguka zunguka  na Matha Baraka.

MATHA MTWALE ALIYESHINDA KITITA CHA SHILINGI MILIONI MOJA KATIKA SHINDANO LA TIMIZA NDOTO YAKO
 ZAWADI TATU ZA WASHINDI WA SHINDANO LA TIMIZA NDOTO YAKO

MATHA BARAKA HAPO JUU NA ENOCK WAKILISHAMBULIA JUKWAA SIKU YA TAMASHA LA TIMIZA NDOTO YAKO

MSHINDI WA KWANZA AKIKABIDHIWA ZAWADI YA SHILINGI MILIONI MOJA NA MGENI RASMI MKURUGENZI WA KAMPUNI YA JP PRODUCTION JEREMIA MWAKANYILENGE

MSHINDI WA TATU AKIPOKEA ZAWADI YA SHILING LAKI MBILI


MSHINDI WA PILI AKIPOKEA ZAWADI YA SHILINGI LAKI TATU 
MGENI RASMI JEREMIA MWAKANYILENGE KABLAYA KUTOA HOTUBA AKIIMBA JUKWAANI

                 MWAKANYILENGE AKITOA HOTUBA KABLA YA KUTOA ZAWADI

MKURUGENZI WA MARAFYALE ENTERTAINMENT KULIA AKIMKABIDHI MGENI RASMI MATOKEO YA SHINDANO LA TIMIZA NDOTO YAKO
MRATIBU WA SHINDANO LA TIMIZA NDOTO YAKO OBADI KULIA WAKIWA MEZAKUU KATIKA TAMASHA
MGENI RASMI AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WASHINDI WA SHINDANOLA TIMIZA NDOTO YAKO NA MAWAKALA WAO


KWAYA NA BAND MBALIMBALI ZILITUMBUIZA KATIKA SHINDANO LA TIMIZA NDOTO YAKO


0 comments:

Post a Comment