Vitendo vya
ukatili kwa baadhi wanawake na utoaji mimba vimendelea kushamili katika nchi
yetu ya Tanzania hivi karibuni kumekuwepo kulipotiwa na vyombo vya habari
mbalimbali vikilaani vitendo hivyo
Kwamujibu wa
Blogg ya Morogoro Yetu Imebaini kuwa vitendo hivyo vimekilithili sana kwa
wanafunzi walioko vyuoni kwani hivi karibuni wameokota mimba ya kitoto kichanga
chenye jinsia ya kiume kikiwa kimetupwa katika shimo la maji machafu na baada
ya kufuatilia ikagundulika kuwa aliye kifanya kitendo hicho ni mwanfunzi wa
chuo cha sua mjini Morogoro.
Hata hivyo
vitendo hivi vimekuwa vikisikika kwa wingi hata hapa jijini Mbeya.
Wiki mbili
hazijapita Amekutwa ametupwa mtoto wa jinsia ya kiume katika ghuba la kutupa
takataka katika shule ya msingi mwenge maeneo ya Soweto, Hazijapita siku nyingi
katupwa tena motto mwingine. Maeneo hayohayo.
MALAFYALELEO
Blogg Inaweza kubaliana kuwa vitendo hivi vimeongezeka jijini Mbeya Labda ni
kutokana na kuongezeka kwa vyuo ukweli wa mambo haya utaugundua kuwa limekuwa
ni jambo la kawaida kuokotwa vitoto vichanga vikiwa vimetupwa katia mashimo ya
vyoo na malanyingine katika baghuba ya takataka.
Hivi ukatili
huu utakuwa na majibu gani kwa mwenyezi mungu, Sitaki kuamini kwamba mtu hushika
mimba kwa bahati mbaya kama Rugha za wengi hupenda kujitetea, sikubari
kushawishiwa na maneno hayo yananitia kichefuchefu We msomi mzima unapanda
mbegu usiyo taka kuota na kuivuna inaingia akilini hiyo? Hata hivyo ni kwanini
Mnaogopa mimba kulika UKIMWI?
Pumbavu,
mjinga wewe Unawezaje kufanya tendo la ndoa bila kutumia kinga? Kwanini mnafanya
vitu kama vipofu? Kwanini mnazikosesha haki ya kuishi Roho zisizo na
hatia?Kwanini lakini nyie watu mnawaza niniiii jamani mimi ningelikuwa mungu
sijui ingekweje?
Hasira Imenizidi Tukutane
wiki ijayo.
Mtoto alekutwa ametupwa katika ghuba la Takataka shule ya msingi Mwenge soweto
0 comments:
Post a Comment