Pages

Ads 468x60px

Wednesday, June 27, 2012


Waandishi wa Habari wa Baraka fm Radio wapata mafunzo ya wiki tatu ili kujengewa uwezo wa kuandaa vipindi vyao. Sana katika mradi wanaotarajia kuanza wa kuandaa vipindi vya kilimo cha mikunde, ili kurutubisha udongo na kuvirusha katika Radio hiyo.
Mafunzo hayo yanafadhiliwa na shirika la Faida Mari, Farm Radio International walioko Arusha na Wizara ya kilimo.
Mradi huu umeanzishwa kwa malengo ya kujibu matatizo ya wakulima katika kurutubisha udongo na kuondokana na matumizi ya Mboleo za kisasa, Kubuni na kuandaa vipindi vitakavyo waelimisha wakulima iliwaweze kujifunza mbinu za kurutubisha udongo, kusambaza taaifa za kurutubisha udongo pi taarifa ya pembejeo kwa wakulima mbalimbali.
Muwezeshaji Felix Kaombwe toka Radio Maria Akielezea kitu kwa waandishi wa habari katika semina inayo endelea katika ukubi wa chuo cha ufundi Moraviani.
Muwezeshaji Ester Mwangabula tika Farm Radio akisikiliza kwa makini wakati wa kujieleza mmaja wa wanansemina.
Waandishi wakiendelea na semina Aliyesimama na Charlee Mwaipopo akichangia moja ya mada



0 comments:

Post a Comment