Pages

Ads 468x60px

Sunday, November 18, 2012

AJARI NYINGINE SAE JIJINI MBEYA

Uharibifu hu wa mali na kupoteza maisha ya wanadamu unaoendelea kila kuitwapo leo kutaisha lini? kwani uzembe na kujiamini kwa baadhi ya madereva kumekua kukigharimu mkaisha na upotevu ma mali kutokana

na ajari za kila siku ambazo wakati mwingine zinaweza kuipukika ni kwanini lakini watu wamekua hajihurumii kwa kasababisha ajari kama unavyo ona ajari hii iliyosababishwa na ulevi tu maeeneo ya sae jijini mbeya






                          HIVI NDIVYO ILIVYOTOKEA AJARI HIYO MAENEO YA SAE


0 comments:

Post a Comment