Pages

Ads 468x60px

Friday, November 23, 2012

TANZANIA NCHI ILIYOBARIKIWA YENYE ASALI NAYO MAZIWA KAMA EDENI YA MUNGU

                              WA MAMA WAJAWAZITO WAKISUBIRIA KUJIFUNGUA


Nahii ndiyo nchi yenye asali nayo maziwa kama vile migodi ya madini dhahabu mengene yasiyopatikana duniani kote makaa ya mawe, ges, bandali, mbuga za wanyama na mengine unayoyafahamu wewe lakini hii ndiyo hali ya wananchi wake

0 comments:

Post a Comment