Kanisa la
Moraviani ushirika wa mbeya mjini umekamilisha uchaguzi wa viongozi wa
kuliongoza kanisa hilo kikatiba pamoja na idara zake zote ambapo kwaya ya
vijana wa ushirika huo umewarudisha viongozi wake wote wealiokuwa wakiwaongoza
msimu uliopita.
Katika
uchaguzi huo Aggrey kandonga kachaguliwa tena kuwa mwenyekiti, Elia Mwandima
makamu wa mwenyekiti, Yohana Kajenge katibu na John mwambola mtunza hazina
Mchungaji wa
kanisa hilo Stefano mwakibibi amewataka kuendeleza ushirikiano na mshikamano wa
pamoja ili kuijegana kuleta maendeleo kwa kwaya hiyo kwani vijana ndiyo tegemeo
Aidha mlezi
wa kwaya hiyo Medson Msisya amewaomba viongozi waliochaguliwa kuwapenda vijana
wote bila kujali waliwachagua au hawakwachagua kwani kila palipo na uchaguzi
kuna kuwa na pande mbili hivyo waondoe
tofauti na kuifanya kazi ya mugu kwa umoja.
MCHUNGAJI S MWAKIBIBI AKISOMA KATIBA YA KANISA LA MORAVIANI KABRA YA KUANZA UCHAGUZI HUO
MLEZI WA KWAYA HIYO MEDSON MSISYA AKIFAFANUA JAMBO KABRA YA UCHAGUZI
KATIBU WA VIJANA YOHANA KAJANGE AKIOMBA UFAFANUZI SAHIHI KABLA YA UCHAGUZI
BAADA YA UCHAGUZI VIJANA WAKIMPONGEZA MAKAMU WA MWENYEKITI ELIA MWANDIMA BAADA YA KUSHINDA KWA NIABA YA WENZAKE
MCHUNGAJI AKITOA NASAHA KWA KIONGOZI ALIYEKUWEPO KWA NIABA YA WENGINE MARA BAADA YA KUCHAGULIWA
0 comments:
Post a Comment