Pages

Ads 468x60px

Sunday, July 21, 2013

MIILI YA MASHUJAA 7 WA JWTZ WALIUAWA SUDAN YAWASILI DAR


 Moja ya majeneza yenye miili ya Askari 7  waliuawa na waasi wakilinda amani Darfur, Sudan, likishushwa kutoka kwenye ndege ya Umoja wa Mataifa (UN), baada ya kuwasili leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.


                           Baadhi ya wanafamilia wakiwa na huzuni wakati wa mapokezi hayo



Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akiwa na  baadhi ya viongozi waliofika kupokea miili hiyo.



0 comments:

Post a Comment