Pages

Ads 468x60px

Friday, November 22, 2013

Zaidi ya wanafuzi 476 wahitimu chuo cha ufundi Moraviani



Maafari ya kumi na tatu yafanyika chuoni hapa 
Katibu mkuu wa  kanisa la moravian Tanzania jimbo la kusini magharibi Wily mwasile akifungua maafari hayo



                            Viongozi wa chuo wakipunga mikono ishara ya kusalimia wageni walikwa

Mgeni rasmi Daudi Mwalisamba  mratibu Benki ya wananchi Mbeya akisalimia wagenin waalikwa
                                   Viongozi wa kanisa waliofika katika mahafari hayo









                 Paradise kwaya ya kanisa la moravia ushirika wa Ruanda wakiimba katika mahafari hayo











                                    Picha za wanafunzi wanao hitimu na kuagwa leo katika maafari hii

                                     Ndugu na jamaa walifika kushuhudia maafari

      Mgeni rasmi baada ya kujibu risara afurahishwa na wanafunzi walipoanza kutoa burudani mbele yake
                    Panapofuka moshi ujue pana moto huyu kaanzisha kilichofuta hapa tazama hapo chini
                                                                    kaongezeka mwingine
                                                                          mwingine watatu
                                                                 wamefika wanne


                                          mwisho wa siku mambo yakawa hivi

0 comments:

Post a Comment