Ni
baada ya kutuhumiwa kugushi saini zenye lengo la kushinikiza kikao cha baraza
la madiwani na kutaka kuisabishia hasala ya milioni kumi Halmashauri ya jiji la
mbeya
 Meya wa jiji la Mbeya Atanasi Kapunga akiwa katika Picha mbalimbali akiongea na wananchi katika mkutano wa Hadhara
                   Madiwani na Viongozi wa ccm wakiwa katika mkutano wa hadhara sokomatola 
                      Wanachama wa chama mapinduzi ccm na wananchi waliofika katika mkutano huo
                  Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakisikiliza kwa makini katika mkutano
                    Baadhi ya wananchi waliopata nafasi ya kuuliza maswali katika mkutano
                                                                        Habari kamili
Hatimae Madiwani
wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema)  kufikishwa  katika vyombo vya sheria
Ni baada ya
kutuhumiwa kugushi saini zenye lengo la kushinikiza kikao cha baraza la madiwani
na kutaka kuisabishia hasara ya zaidi ya milioni kumi Halmashauri ya jiji la mbeya
Hayo
yamejili katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya soko dogo la
sokomatola jijini hapa uliofanywa na Madiwani wote wa chama cha mapinduzi (ccm)
Akiongea
na wananchi waliohudhuria katika mkutano huo Meya wa jiji la mbeya Atanasi Kapunga
amesema wamefikia uamuzi huo baada ya kuona madiwani wa chadema wamegushi saini
na kutaka kuisababishia Halmashauri  hasara ya kiasi hicho cha fedha.
Aidha
Kapunga ameainisha kuwa saini hizo wamezigundua baada ya kulinganisha na zile za
madiwani wanazo saini wanapochukua posho na katika vitabu vya kula kiapo saini
hizo ni za madiwani watatu  akiwemo
Diwani wa Forest Boidi Mwabulanga ambaye amelazwa katika hospitari ya Rufaa
mbeya baada ya kupata ajari  Pamoja na
Mbuge wa mbeya mjini Joseph Mbilinyi ambaye yupo nje ya nchi.
Akiongea
Katika Mkutano huo  uliandaliwa na
madiwani  wote wa chama mapinduzi (ccm)
Kapunga amewataka wananchi kuwapuuza viongozi wa chadema wanaozusha maneno ya
uongo kuwa wamekula pesa kiasi cha milioni tisini na tano walipofanya safari ya
kwenda Uchina kujifunza maendeleo ya huko. 
 
























 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment