Pages

Ads 468x60px

Thursday, February 20, 2014

AJALI LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOJA WATUNNE WAPOTEZA MAISHA


                                  Wanainchi wakiangalia Lori baada ya kuungua
                    Mabaki ya Lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto jioni hii
                            Baadhi ya wasafiri wakitazama lori lililongua jioni hii

                Bonde la mlima sekenke linavyoonekana na baadhi ya miti imeungua
                                            Hii ni njia ya mlima sekenke
            Haya ni mabaki ya mwili wa mmoja ya watu walikuwam kwenye Lori hiloo
Moto ukimalizikia kwa mbaliii kama inavyoonekana

Lori la mafuta limeanguka katika eneo la milima ya sekenke mkoani singida na kuua watu wanne hapohapo.Chanzo cha ajali hiyo ni breki kufeli kukamata wakati lori hilo lilipokuwa linashuka mlima huo.Shuhuda wa ajali hiyo bwana Julius chacha alipoongea na mtandao wetu amesema kwamba Lori hilo lilipoacha njia lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto.
Akiendelea kuongea shuhuda huyo alisema walishindwa kutoa msaada wowote kwa kwa moto uliposhika ulikuwa mkubwa na hawakuwa na vifaa vya kuokolea.
Watu wanne wamekufa papo hapo kutokana na ajali hiyo Polisi walikuwa bado hawajafika eneoo la tukio mpaka tunaondoka eneo la tukio.na Dj Sek

0 comments:

Post a Comment