Ofisi za kanisa zilifungwa na Wachungaji na Waumini wa kanisa hili kushinikiza kujiuzuru Askofu Alinikisa Cheyo na kuitishwa mkutano mkuu Sinodi
Tukio zima la utekelezaji wa kuzifunga ofisi za kanisa la moraviani jimbo la kusini magharibi lilikua hivi
0 comments:
Post a Comment