Ni ibaada iliyofanyika katika kanisa la moraviani ushirika wa Mbeya mjini Mchungaji wa kanisa hilo Godfrey Tinga na waombaji wapambana nayo ili kuyatoa kwa maombi
Mwanafunzi ambae jina lake limehifadhiwa akigalagala chini baada ya kuangushwa na mapepo
Mchungaji Godfrey Tinga paoja na waombaji na baadhi ya waumini wa kanisa hio wakipamabana na kijana ambae kapagawa na mapepo alipotaka kukimbia
Waumini wakimbeba kijana wakimpeleka ktika chumba maalumu kwa maombi
Mwanafunzi ambae jina lake limehifadhiwa akigalagala chini baada ya kuangushwa na mapepo
Mchungaji Godfrey Tinga paoja na waombaji na baadhi ya waumini wa kanisa hio wakipamabana na kijana ambae kapagawa na mapepo alipotaka kukimbia
Waumini wakimbeba kijana wakimpeleka ktika chumba maalumu kwa maombi
0 comments:
Post a Comment