Fuatilia Habari picha mchakato mzima wa uchaguzi wa Katibu itikadi na uenezi wilaya ya Mbeya jiji
Katibu wa wilaya ya Mbeya Doris akitoa maelekezo kwa wapiga kura kabla ya kuanza uchaguzi
Mwenyekiti wa wilwyw ya Mbeya jiji Mwaitenda akitoa maelezo
Msimamizi wa uchaguzi Charles Mwakipesilie akitoa muelekeo wa uchaguzi
Msimamizi wa uchaguzi namaba 2 akisoma kanuni ya uchaguzi
Wajumbe mbalimbali wakiongozwa na meya wa jiji Athanasi kapunga wakisikiliza kwa makini na kisha kupiga kura
Mgombea Deo Mwasnaga
Mgombea Jeremia Mng`ong`o ambae ndiye mshindi katika kinyang`anyilo hicho
Mgombea Mwajuma Abdalla alieshika nafasi ya pili
Msimamizi wa uchaguzi akionesha box la kupigia kura kabla ya kuanza zoezi hilo
Shughuli za upigaji kura zikiendelea
Katibu Itikadi nauenezi mpaya Jeremia mng`ong`o akipongezwa baada ya kutangazwa mshindi
Soma hapa
Na Charles Abraham
Katibu wa wilaya ya Mbeya Doris akitoa maelekezo kwa wapiga kura kabla ya kuanza uchaguzi
Mwenyekiti wa wilwyw ya Mbeya jiji Mwaitenda akitoa maelezo
Msimamizi wa uchaguzi Charles Mwakipesilie akitoa muelekeo wa uchaguzi
Msimamizi wa uchaguzi namaba 2 akisoma kanuni ya uchaguzi
Wajumbe mbalimbali wakiongozwa na meya wa jiji Athanasi kapunga wakisikiliza kwa makini na kisha kupiga kura
Mgombea Deo Mwasnaga
Mgombea Jeremia Mng`ong`o ambae ndiye mshindi katika kinyang`anyilo hicho
Mgombea Mwajuma Abdalla alieshika nafasi ya pili
Msimamizi wa uchaguzi akionesha box la kupigia kura kabla ya kuanza zoezi hilo
Shughuli za upigaji kura zikiendelea
Katibu Itikadi nauenezi mpaya Jeremia mng`ong`o akipongezwa baada ya kutangazwa mshindi
Soma hapa
Na Charles Abraham
Chama cha mapinduzi (CCM) cha pata mridhi baada ya kufariki Mbuzza
Aliekua katibu itikadi nauenezi
Wilaya ya Mbeya jiji
Chama cha mapinduzi wilaya ya mbaya jiji kimeijaza nafasi ya
katibu itikadi nauenezi kilicho achwa wazi baada ya kufariki aliekua katika
nafasi hiyo Emmanueli Mbuza kisha kuchukuliwa na mkurugenzi wa Tot Band Jeremia
Mng`ong`o
Akiongea katika uchaguzi huo uliofanyika katika ukumbi wa
ofisi za ccm mkoa wa Mbeya msimamizi wa uchaguzi Charle Mwakipesile amewataka
wagombea kukubari matokeo na kuvunja makundi enapo hawatachakuchaguliwa , na kueka maslahi ya
chama zaidi.
“Ndugu mliojitokeza kugombea nafasi hii kabla hatujaanza
kupiga kura nina wakumbusha kua hakuna uchaguzi mdogo na kati yenu laima
apatikane mshindi mmoja na wengine kushindwa hivyo ni muhimu kuyavunja makundi
ili tuwe na umoja na kukijenga chama chetu” amesema Mwakipesile
Nae Jeremia mng`ong`o Amewashukuru sana kwa kumchagua na
ameahidi kushirikiana nao kwa dhati na kuhakikisha chama kinasonga mbele na
kushinda katika chaguzi mbalimbali zitakazotokea na kwamba yupo tayali kufanya
kazi kwa moyo wote.
Katika uchaguzi huo ulikua na wagombea watatu wengine ni Deo
mwasanga na Mwajuma Abdalla ambao
walikubaliana na matokeo hayo na kisha kuendelea na majukumu mengine ya
kukijenga chama kwa pamoja na kukili kwamba asie kubari kushindwa si mshindani.
MWISHO
ubarikiwe
ReplyDelete