SHEREHE YA WAANDISHI WA HABARI MBEYA (MEDIA DAY) FUNIKA
Baadhi ya Waandishi wa habari na wadau mbalimbali wakiburudika katika sherehe hiyo ya waandishi wa habari June 11 mwaka huu katika ukumbi wa Jm Hotel jijini Mbeya. |
Emanuel Lengwa katika Mbeya Press akitoa neno katika hafla hiyo. |
Mwandishi Mkongwe na Rias Mstaafu wa UTPC Mzee Mwakilili akizungumza katika hafla hiyo |
serebuka time |
Mzee wa mavitusi Solomon Mwansele mwandishi Uhuru-Mzalendo Mbeya katika ubora wake . |
Weeeeee Acha tu!!!!!!!!!! Mzee Mwambona katika ubora wake |
Picha na jamii moja blog |
0 comments:
Post a Comment