Pages

Ads 468x60px

Monday, January 11, 2016

Makamu wa mwenyekiti wa kanisa la Moravian Zacharia Sichone amesema Hakuna uhasama kati ya Waisramu na Wakristo



Makamu wa mwenyekiti Zacharia Sichone
Hayo amebainisha alipokua akifungua semina ya siku moja inayo husu Rushwa kwa viongozi wa Taasisi na Wadau mbalimbali wa kanisa hilo iliyofanyika katika ofisi  kuu za kanisa hilo zilizopo Jakaranda jijini Mbeya

Sichone amewataka washiriki wa semina hiyo kudumisha amani nchini ikiwa nipomoja na imani zetu ya Wakristi na waisramu.

Akitolea mfano wa magaidi waliowaua Wakristo, na Wairamu walio waokoa Wakristo ili wasiuwawe kwa kuwapa vazi la kike la kiisramu (hijabu) hiyo huwezi kutuhumu kwamba kuna uhasama kati ya imani hizi mbili.

Akisoma neno kutoka katika biblia kitabu cha Zaburi 37:24  na Lika 3:3-12 akifafanua mistali hiyo amewataka watu kudumisha Amani na utulivu tuliyo nayo nchini.





 Mkurugenzi wa Uchumi, Mipango na Maendeleo wa Kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la kusini Magharibi Agripa Senka akiongea jambo kabla ya ufunguzi wa semina hiyo

Muwezeshaji wa Semina Kichere Mwita Afisa mwandamizi wa Takukuru Mbeya akifundisha kuhusu Rushwa
Afisa mwandamizi wa Takukuru Mbeya Mussa Ally akiongea na wanasemina







Baadhi ya washiriki wa semina wakiwa ndani ya ukumbi wa kanisa uliopo jimboni hapo wakiendelea kusikiliza mafunzo

0 comments:

Post a Comment