Pages

Ads 468x60px

Tuesday, February 16, 2016

TAJATI WAZURU KIWANDA CHA ZANA ZA KILIMO MBEYA (ZZK) WABAINI UOZO MTUPU




Chama cha waandishi wa habari za utalii na uwekezaji Tanzania (TAJATI)  wametembelea kiwanda cha zana za kilimo kilichopo iyunga jijini mbeya.
 
Waandishi hao wamebaini kiwanda hicho kimesimamisha shughuli za uzalishaji kwa muda mlefu na mashine zote zimesha haribika na majengo yake yamefanyika kua godauni la kuhifadhia vipuli kutoka china
                    MWANDISHI WA HABARI BRAND NELSON KULIA AKIONGEA NA MKURUGENZI WA (ZZK)
                  MWENYE KITI WA TAJATI ULIOMBOKA MWAKILILI ALIE KAA AKITOA MAELEZO KWA MLINZI
 MAKAMU MWENYEKITI WA CHRISTOPHA NYENYEMBE AKITETA JAMBO NA MTUNZA HAZINA TAJATI   BRAND NELSON

                   WAANDISHI WA HABARI WAKIELEKEA KIWANDANI KUJINEA SHUGHURI ZINAVYO ENDELEA

 MALGHAFI KUTOKA CHINA IMEINGIZWA KWA AJILI YA KUKUNJA NA KUA BATI ZA KUEZEKEA
                MKURUGENZI AKIONESHA MASHINE YA KUKUNJA MIGONGO YA BATI

HII NDIYO HALI HALISI YA KIWANDA CHA ZANA ZA KILIMO MBEYA MASHINE ZIMEHALIBIKA





                                      KIWANDA KIMEGEUKA KUA DUKA LA KUUZA BIDHAA KUTOKA CHINA

0 comments:

Post a Comment