Pages

Ads 468x60px

Monday, June 20, 2016

AJALI : Wanajeshi Wanusurika Kifo eneo la BUZA Jijini Dar es Salaam

 Wananchi wakiangalia ajali ya Noah yenye namba za usajili T 359 DFQ iliyodaiwa kuacha njia na kuparamia daladala namba T 797 DEW eneo la Buza Njia Panda ya Kitunda jijini Dar es Salaam leo jioni. Katika ajali hiyo watu wawili waliokuwa kwenye Noah hiyo waliotajwa kuwa ni Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), walijeruhiwa na kukimbizwa Hospitali ya Temeke kwa matibabu.

 Noah hiyo ikiwa kwenye mtaro baada ya kutokea ajali hiyo.

 Daladala lililogongana na Noah hiyo likiwa eneo la tukio.

Wananchi wakiwa eneo la ajali hiyo.

0 comments:

Post a Comment