·
Mtoto mwenye vichwa viwili azaliwa Muhimbili
Mtoto
wa ajabu amezaliwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akiwa na vichwa
viwili, lakini kiwiliwili chake kikiwa na viungo vya kawaida.
UKATILI WA KUTISHA WAENDELEA JIJINI MBEYA,
MIMBA YA KITOTO KICHANGA CHATUPWA KWENYE GUBA LA TAKATAKA
KITOTO KICHANGA CHENYE
JINSIA YA KIUME KINACHO KADILIWA KUWA NI MIMBA YA MIEZI KATI YA SITA (6) NA
SABA (7) KIMEKUTWA KIMETUPWA KATIKA GUBA LA KUTUPA TAKATAKA MAENEO YA SHULE YA
MSINGI MWANGE MWANJELWA, KITOTO HICHO KIMEKUTWA NA MSAMALIA MWEMA AMBAYE
HAKUTAKA JINA LAKE LITAJWE.
MTU HUYO ALIFIKA ENEO HILO KWA
MINAJILI YA KUTAKA KUTUPA TAKATAKA ALIONA KANGA ILIYOLOA DAMU NA ALIPOSOGELEA
AKAKIONA KICHANGA HICHO KIKIWA KIMEWEKWA JUU YA KANGA HIYO NA NDIPO ALIPOTO
TAARIFA POLISI AMBAO WALIFIKA NA KUKICHUKU NA KUONDOKA NACHO, MAPAKA SASA
HIJAJULIKANA AILIYE HUSIKA NA UHALIFU HUU.
UKATILI HUU KWA AKINA MAMA UMEZIDI
KUSHAMILI KATIKA JIJI LA MBEYA KUMEKUWA NA VINDO VYA NAMNA HII VYA UTUPAJI
WATOTO VINAJITOKEZA MARA KWA MARA AMBAPO
WIKI MBILI ZILIZOPTA MAENEO YA IYUNGA KILIJITOKEZA KITENDO CHA KUTUPA MTOTO
KATIKA SHIMO LA MAJI MACHAFU.
naomba radhi kwa picha ya mtoto utakayoiona
hiki ndicho kitoto kilichotupwa kwenye guba la kutupia taka
maeneo ya soweto karibu na sule ya msingi mwenge
Ukatili huu utaisha lini?
ReplyDelete