Pages

Ads 468x60px

Wednesday, September 5, 2012

WAFANYA KAZI WA KAMPUNI YA WACHINA CICO MKOANI MBEYA WAMEGOMA KUFANYAKAZI BAADA MMOJAWAO KUPIGWA NA NONDO

HAPA WANAONEKANA WAKIWA NJE YA GETI MALA BAADA YA MMOJAWAO KUPIGWA NA NONDO NA MCHINA
Kushoto ni Eng. Engi Laynas Sanya Mhandisi wa jiji la mbeya katikai ni Eng.Leonard Kowelo na kulia naEng. Naftali chaula wakijaribu kusuruhisha mgogoro huo na wafanyakazi wa kampuni ya kigeni ya wachini
         Bana Kasimu kiongozi wa wafanyakazi akijaribu kuelezea masikitiko yao kwa uchungu mkubwa

0 comments:

Post a Comment