Wameonekana baadhi ya wachezaji wachache wakifanya mazoezi katika kiwanja cha shule ya msingi Azimio huku wengine wakitokomea kusiko julikana kitu kinachotafsiliwa kuwa ni kusikilizia maumivu ya goli moja walilopigwa na timu ya waheshimiwa hao
Mmoja wa wachezaji tegemeo wa watimu hiyo ambaye hakutaka jina lake litaje alisema wao wataendelea na mazoezi siku hii ya leo alhamisi bila kujari idadi ya wachezaji watakao jitokeza na kutoa wito kwa waandishi wa habari kufika katika mazoezi ili kujenga afya zao pia.
MWANDSHI WA HABARI CHARLES MWAIPOPO AKIONYESHA UMAHIRI WAKE JANA KATIKA MAZOEZI YALIYOKUWA YAKIFANYIKA TIKUWANJA WA SHULE MSINGI AZIMIO |
KIPA CHIMWEMWE MAZUNDA AKIONJA SHUBILI YA MASHUTI YA WACHEZAJI KATIKA MAZOEZI HIYO JANA |
0 comments:
Post a Comment