PIA
KUTOSHEKA NA MISHAHARA YAO KATIKA KUTENDA KAZI WALIZOPEWA KAMA DHAMANA NA MUNGU
KWA WENGINE
Hayo ameyasema katika ibaada ya kuukaribisha mwaka mpya
iliyofanyika katika kanisa la moraviani ushirika wa mbeya mjini CHEYO amewataka
watu wanaotaka kupewa huduma na wao kuwahurumia kwani wamepewa kama dhamana na
mungu,
Aidha amewasihi kutosheka na mishahara yao wanayoipata
kiharali ili kuondokana na taifa kushamili kwa wimbi hili la rushwa kwani
wanaoweza kukomsha ni wakristo kwakuwa wao wana dhamana ya kumtangaza YESU
KRISTO, hivyo wawe ni kielelezo kwa jamjii inayo wazunguka
Cheyo amesema ni lazima muumini wa kweli awe ni mkarimu kwa
wengine kwakuwa mungu mwenyewe ndiye chanzo cha ukarimu huo kwa wanadamu hivyo
kwa mwaka huu mpya tuanze kwa kuonyeshwa matunda hayo ya ukristo wetu kwa
matendo yanayoonekana kwa macho.
Aliongeza kua kila muumni wa kristo kuacha kujitetea pindi
unapochafuliwa kwa maneno na watu kwa j
ambo ambalo hujalitenda kwani yupo
mtetezi wetu YESU kwa kufanya hivyo unaweza kuwapa watu faida na kujichafua
zaidi, Pia kwa wale wenye tabia za kusema uongo na uchezi kwa wengine kuacha
mara moja kwani hiyo ni kazi ya shetani
ASKOFU KIONGOZI ALINIKISA ZHEYO AKIONGEA NA WAUMINI WA KANISA LA MORAVIANI USHIRIKA WA MBEYA MJINI
WAKRISTO WA KANISA LA MORAVIANI USHIRIKA WA MBEYA MJINI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI ASKOFU CHEYO
KWAYA YA VIJANA (A) USHIRIKA WA MBEYA MJINI WAKIIMBA WIMBO MAARUMU KATIKA IBAADA YA KUUARIBISHA MWAKA MPYA








0 comments:
Post a Comment