Pages

Ads 468x60px

Sunday, December 22, 2013

Wadu wa Maji na usafi wa mazingira wahitimisha warsha ya siku tatu

Wafanya majumuisho ya pamoja katika ukumbi wa Tugimbe Mbalizi kwa kubadilishana uzoefu kati ya wilaya Marali na Mbeya vijijini
Bwana Afya wa Wilaya ya Mbarali Emedani Natron akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa utafiti wa mradi wa usafi wa mazingira katika kata ya  mshewe beya vijijini

Fflorance mbwele wilaya ya Mbeya vijijini wakiwasilisha utafti waliufanya katika kata ya Ihahi wilaya ya Mbarali



 Wadu wakiwa katika kusikiliza kwa makini mada zikiendelea kusomwa
Mtendaji wa kijiji cha ihahi Abraham E Shangwa akichangia mada
Mtendaji wa kijiji cha mjele kata ya mshewe Evarist Beni  akitoa ufafanuzi juu ya matumizi ya mashimo ya taka
 Msaidizi wa mazingira kata ya ihahi Khatibu Kilumbu  akijibu swali la   kuhusu matumizi ya  kibuyu chilizi

                Mwandishi wa Blog ya Kalulunga Bwana Gordan akiwajibika katika War+sh hiyo
Watendaji wa kata ya ihahi wakishauliana

0 comments:

Post a Comment