
 Picha juu ni baadhi ya majeruhi walikuwa kwenye  basi hilo aina 
ya Urio lililopata ajali leo jioni katika eneo la Kia wilayani Hai 
 mkoani Kilimanjaro
 Wananchi wakiwa wanashuhudia ajali hiyo iliotokea leo jioni katika eneo la kia
 ambapo inasemekana watu zaidi ya 31 wamejeruhiwa.
Basi
 aina ya Urio yenye namba za usajili T 137 BCX inayofanya safari zake 
moshi kuelekea  Leguruki mkoani  Arusha leo limepinduka katika eneo la Kia na kujeruhi watu zaidi ya 31.
Kwa
 mujibu wa mashuhuda waliokuwepo katika eneo la tukio walisema kuwa 
dereva huyo alikuwa anajaribu kukwepa pikipiki iliyokuwa imejichomeka 
barabarani.





0 comments:
Post a Comment