Mtu alie julikana kwa jina la Jofrey Mwambeja anae kadiliwa
kuwa na umli wa miaka 30-35 amekutwa amekufa ndani ya maji ya mto mbata uliopo
sokomatola kata ya maendeleo jijini mbeya
Kaka wa marehemu Fredy Mwambeja akiwa katika majonzi mazito ya kuondokewa na mdogo wake
Mwaili wa marehemu Jofrey Mwambenja baada ya kumtoka ndani ya maji maeneo ya sokomatola
Wasamalia wema wakijaribu kuweka sawa mwili wa marehemu
Askali kanzu wakipata maelezo kutoka kwa diwani wa kata hiyo Pantareo Shio
Baadhi ya watu waliofika kushuhudia tukio hilo
Kaka wa marehem akiwa ndani ya gari la polisi tayari kuelekea Hospitali a Rufaa mbeya
0 comments:
Post a Comment