Baada ya Dereva wa Gari lililokua limebeba waombolezaji kushindwa kulimudu alipokua akipanda mlima uliopo karibu na makaburi hayo na kuanza kurudi nyuma.
Tunaomba Radhi kwa picha ya mwili wa malehemu utakayoiona hapa
Mwili wa mtu aliyetambulika kwa jina la Saimoni Julius baada ya ajali hiyo ukiwa umepokelewa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya
Baadhi ya majeruhi walitibiwa na kuruhusiwa na wengine ambao walijeruhiwa vibaya hatukupata idadi yao walilazwa katika wad ya majeruhi
Tunaomba Radhi kwa picha ya mwili wa malehemu utakayoiona hapa
Mwili wa mtu aliyetambulika kwa jina la Saimoni Julius baada ya ajali hiyo ukiwa umepokelewa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya
Baadhi ya majeruhi walitibiwa na kuruhusiwa na wengine ambao walijeruhiwa vibaya hatukupata idadi yao walilazwa katika wad ya majeruhi
0 comments:
Post a Comment