Pages

Ads 468x60px

Friday, June 13, 2014

HUYU NDIYE BOSI MWENYE ROHO MBAYA AMBAYE ALIMNG'ATA NG'ATA MFANYAKAZI WAKE.. TAZAMA HAPA


Pichani ndio Mwanamke anayejulikana kwa jina la Amina Maige anaetuhumiwa kumjeruhi mfanya kazi wake wa ndani


Yusta Lucas akionyesha majeraha ya meno aliyong'atwa na bosi yake.

Yusta Lucas akiwa wodini kwenye Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Kinondoni, Mwananyamala jijini Dar.




0 comments:

Post a Comment