Pages

Ads 468x60px

Tuesday, June 3, 2014

Shomi Mtaki Azikwa shambani kwake Huko Tunduma maeeneo ya Chapya


Waandishi wa Habari mkoani mbeya waungana na mamia ya watu katika mazishi ya mwandishi wa magazeti ya Uhuru na mzalendo

                                     Marehemu shomi mtaki enzi za uhai wake










Wtu na viongozi mbalimbali wakitoa salamu za lambilambi kwa familia ya marehemu Shomi Mtaki Nyumbani kwake Tunduma



                        Baadhi ya waandishi walishiriki mazishi ya Shomi Mtaki

                                      Katikati ni mke wa marehemu Shomi Mtaki
                                                 Kushoto ni mama mzazi wa marehemu






Waandishi wa Habari ndugu jamaa na Marafiki wakielekea eneo la Nyumba ya milele ya Shomi Mtaki

0 comments:

Post a Comment