FREEMASONRY
Freemasonry inaweza kutafsiriwa kwa
namna mbalimbali lakini … is
fraternal organizational whose members, help each other and communicate using
secret signs.

Kwa maana hii kwamba “Freemasonry”… ni jumuiya ya watu wenye
nia ya kusaidiana kila mmoja, ambao huwasiliana kwa kutumia alama za siri.
Hakuna mwanadamu aliyezaliwa kuwa freemasonry ila ni matakwa binafsi
ambayo binadamu huyu anataka katika maisha yake, hasa ikizingatiwa kuwa
binadamu ameumbwa na mwili, nafsi na roho.
Hivyo, kila kimoja katika hivyo
hutafuta matakwa yake binafsi ili kukamilisha haja yake na ni uamuzi wa
binadamu huyu kuamua ni njia ipi ya kwenda katika maisha yake ya kila siku.
Asili ya Freemasonry
Asili ya kundi hili imetoka mbali
sana hata kuja kuitwa Freemasonry. Ukiisoma katika Biblia kwenye vitabu vya
Injili kuna mahali Yesu wakati wa huduma yake ulimwenguni alizungumza kuhusu
“Kizazi cha Nyoka”- (Brood of Vipers).
Msomaji jiulize swali hili ilikuwaje
mpaka akatamka maneno hayo magumu?...
Historia Fupi ya Kizazi cha Nyoka
Kizazi cha Nyoka kilitanuka zaidi
kutoka Mashariki ya Kati, Asia, Ulaya na Amerika. Na hii ndio sababu ya kuona
jambo hili ni gumu barani Afrika lakini kwenye maeneo tajwa ni suala la
kawaida.
Ili kujua kwa undani zaidi kuhusu
FREEMASONS ni lazima ujue kwanza Historia ya Kale na Utamaduni.
Historia
ya Kale hadi Freemasons
Wamisri wanasema miungu au waungu
wao waliojulikana kama wachawi walikuja na boti zinazolea angani. Hii ni kwa
ufupi tu kwa habari ya maendeleo ya watu wa kale, ya watu wa Mesopotamia.
Jamii ni nyingi duniani zinaelezea
kuhusu uvamizi wa kabila hilo jipya, au miungu ilivyokuja kwao na aina ya
vyombo vieleacyo angani, na kuingiza maarifa, pamoja na ustaarabu mkubwa katika
jamii.leo hi vyombo hivyo vinajulikana kama UFO yaani Unidentified Flying
Object.
Na taarifa za Serikali ya Marekani
na nchi nyingine za Ulaya zinasema hakuna ushahidi wa kutosha unaothibitisha
madai hayo yahusuyo jamii za kale na wageni
kutoka nje ya dunia.
Lakini mbona taarifa hizo hazisemi
chcochote kuhusu kile kilichotokana na wageni hao? Ustaarabu wa hali ya juu,
ujenzi wa ajabu ambao hata leo, pamoja na teknolojia iliyopo, itatugharimu
mengi kuufanikisha ujuzi huo wa watu wa kale.
Mbona taarifa zilizopo hazisemi
lolote kuhusu elimu ya sayari zilzopo na mifumo yake ya jua, ambayo ndiyo
kwanza vinagunduliwa sasa na wanasayansi wetu vikiwa vinafanana kabisa na vile
vinavyoelezwa na wageni hao maelfu
ya miaka ya nyuma kabla ya Kristo?.
PREVIOUS CHAMBER

0 comments:
Post a Comment