Yalamba ufadhili wa Miloni 360 Toka kampuni ya Binslum Tyres
Co, Lmt
Katibu wa Mbeya City Mr Kimbe akiongena mbele ya mfadhili, viongozi wa jiji na wandishi wa Habari katika ukumbi wa jiji
Kaimu mkurugenzi wa jiji Dr Lazaro akiongea na waandishi wa habari
Kaimu mkurugenzi wa Kampuni ya Binslum Tyres co, lmt Mohmed Binslum aksoma hotuba yake kabla ya kutiliana saini na mwanasheria wa Mbeya City
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiendelea kutimiza majikumu yao katika ukumbi huoa
Fuatilia Habari picha jinsi Tendo zima lilivyokwenda katika kutiliana sini kati ya kaimu mkurugenzi wa kampuni ya Binslum na mwanasheria wa timu ya Mbeya City James Berdon Kyando
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiuliza maswali baada yakutiliana saini
Jinsi muonekano wa jezi ya mbeya City utakavyokua ukionekana hapa ni Kaimu mkurugenzi wa Halmahauri ya Jiji Dr Lazoro na kaimu mkurugenzi wa kampuni ya Binslum Mohamed Binslum
Waandishi wa wakiwa nje ya ukumbi kabla ya kuingia kushuhudia kutiliana saini mataba wa Mbeya City
Kaimu mkurugenzi wa jiji Dr Lazaro akiongea na waandishi wa habari
Kaimu mkurugenzi wa Kampuni ya Binslum Tyres co, lmt Mohmed Binslum aksoma hotuba yake kabla ya kutiliana saini na mwanasheria wa Mbeya City
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiendelea kutimiza majikumu yao katika ukumbi huoa
Fuatilia Habari picha jinsi Tendo zima lilivyokwenda katika kutiliana sini kati ya kaimu mkurugenzi wa kampuni ya Binslum na mwanasheria wa timu ya Mbeya City James Berdon Kyando
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiuliza maswali baada yakutiliana saini
Jinsi muonekano wa jezi ya mbeya City utakavyokua ukionekana hapa ni Kaimu mkurugenzi wa Halmahauri ya Jiji Dr Lazoro na kaimu mkurugenzi wa kampuni ya Binslum Mohamed Binslum
Waandishi wa wakiwa nje ya ukumbi kabla ya kuingia kushuhudia kutiliana saini mataba wa Mbeya City





























0 comments:
Post a Comment