Katika
michuano ya Spain perfect inayo dhaminiwa na kinywaji cha Castle Lager
maandalizi ya kumpata mshindi kanda pamoja na kikombe kitalicho andaliwa kwa mshindi wa kwanza
Gree city fc wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa timu
Savana fc toka mjini IringaGadafi Fc toka mjini Iringa
White Star kutoka jijini Mbeya
Timu zote nne zikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mashindano
Baadhi ya wadau na mashabiki wa Green city wakipata moja mbili katika viwanja vya city pub
Baadhi ya warembo waliopamba mashindano hayo
Wachezaji wa Green city wakishangilia baada ya kuchukua ushindi wa kua wakwanza katika mashindano
Meneja masoko nyanda za juu kusini Vivianus Rwezaura akizipongeza timu zote kwa ushiriki wake mzuri
Sherehe Shangwe za ushundi wa Green city katika kulipokea kombe baada ya ushindi
Soma habari Zaidi
Green city
fc ya jijini Mbeya imefuzu kuiwakilisha kanda
Katika
michuano ya Spain perfect inayo dhaminiwa na kinywaji cha Castle Lager
Timu ya
Green city fc inayo milikiwa na kampuni ya Malafyale Entertaiment ya jijini
Mbeya Imefanikiwa kunyakua kikombe cha mashindano ya Spain Perfect ya kanda
yaliyo zishilikisaha timu za Iringa, Njombe, na Mbeya.
Timu hiyo
ilifanikiwa kunyakua kikombe hicho kwa kuzichapa timu ya Savana toka iringa
goli 9-0 white star 8-4 na kufanikiwa kuingia fainal na timu ya Gadafi toka
Njombe kwa magoli o-3 kwa kichapo hicho kilipelekea Green city kunyakua kombe
hilo.
Kwa hatua
hiyo Timu hiyo imefanikiwa kupata nafasi ya kuiwakilisha kanda na kwenda katika
michuoano ya Taifa itakayo fanyika katika viwanja vya Lidas vilivyopo jijini Dar
es salaam ambapo itapatika timu moja ya kwanda Ispani kwenda kushuhudia mchezo
wa… kati ya….
Mwalimu wa
Green city Florian Napolion maalufu (Chudo) amesema timu yake imefanya mazoezi
ya kutosha imejiandaa vizuri na imejipanga na inamikakati ya kutosha kuchukua
ushindi katika michuano hiyo kitaifa na kuiwakilisha vyema Tanzania huko
Ispania
“Timu yetu
imejipanga vizuri ina mazoezi ya kutosha na imepania na hatutaki kuiwakilisha
vibaya kanda yetu kwa dhamana tuliyopewa kikanda lazima kurudi na ukushindi katika
michuano hiyo na hata kitaifa na kuiwakilish Nchi yetu Tanzania huko Ispania”
amesema Chudo
Kwa upande
wake meneja masoko wa bia ya castle lager nyanda za juu kusini Vivianus
Rwezaura ameipongeza sana timu hiyo kwa kupata nafasi ya kuiwakilisha kanda yake
na ameahidi kua bega kwa bega katika maandalizi ili kufanikisha maandalizi yote
na kuona kwamba kanda yetu inapata ushindi katika michuano ya Taifa na kisha kwenda kuitangaza nchi yetu
huko Spain.
0 comments:
Post a Comment