Amri imetolewa
ya kuwataka abiria kuondolewa kwa ferry iliyo na karibu abiria 460
ambayo ilishika moto ilipokuwa safarini kutoka nchini Ugiriki kwenda
Italia.
Abiria waliokuwa
kwenye ferry hiyo walipiga simu kwa vituo vya runinga nchini Ugiriki
wakisema kuwa mawimbi makali na upepo unatatiza shughuli za uokoaji.
Maafisa wa
ulinzi wa pwani nchini Ugiriki wamesema kuwa ferry hiyo ya Norman
Atlantic ilikuwa umbali wa kilomita 30 kutoka kisiwa cha Othonoi wakati
walipotuma ujumbe .
Vyombo vya habari nchini Italia vinasema kuwa moto ulianzia kwenye eneo la kuegesha magari
0 comments:
Post a Comment