Pages

Ads 468x60px

Wednesday, December 31, 2014

JUST IN: MTUHUMIWA ALIYEJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA YA KISUTU APIGWA RISASI


Muonekano wa mahabusu aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul Koroma raia wa Sierra Leone baada ya kupigwa risasi.
Koroma akiwa  kwenye machela tayari kwa kupelekwa kuifadhiwa hospitalini.
MAHABUSU aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul Koroma raia wa Sierra Leone ameuawa kwa kupigwa risasi na Askari Magereza wakati akijaribu kutoroka katika eneo la Mahakama ya Kisutu jijini Dar leo!

Mtuhumiwa wa madawa ya kulevya raia wa Sierra Leone akiwa amepigwa risasi baada ya kutaka kuwatoroka askari magereza katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam.









Mtuhumiwa wa madawa ya kulevya raia wa Sierra Leone akiwa amepigwa risasi baada ya kutaka kuwatoroka askari magereza katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win
Mtuhumiwa wa madawa ya kulevya raia wa Sierra Leone akiwa amepigwa risasi baada ya kutaka kuwatoroka askari magereza katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win

0 comments:

Post a Comment