Waanza semina ya siku tatu iliyoandaliwa na ofisi ya Ras kwa kushirikiana na (UNICEF) yafanyika katika ukumbi wa Royal Tughimbe
wajifunza namna ya kuandika habari za ukimwi
Charles Kayoka Muwezeshaji kutoka chuo kikuu chs Dar es salaam akifundisha moja ya mada katika Semina
Stellah Kategile aliekaa Afisa maendeleo ya jamii na mratibu wa Ukimwa akiweka mambo sawa katika semina hiyo
Tulanoga Matimbwi HIV/ADS Specalist UNICEF Dar es salaam akifafanua jambo katika wanaseminaBaadhi ya waandishi wakichangia mada |
Baadhi ya waandishi waliopata nafasi ya kushiriki semina
0 comments:
Post a Comment