MKUU WA MKOA WA MBEYA AKIHUTUBIA KATIKA SHEREHE ZA KUWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA JIJINI MBEYA.
WATU NA VIONGOZI MBALIMBALI WA SERIKALI, SIASA NA DINI WALIOHUDHURIA SHEREHE HIZO
MKUU WA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA AHMED MSANGI AMBAE ALIKUA KIVUTIO KIKUBWA KATIKA SHEREHE HIZO
MKUU WA WILAYA MPYA MBEYA MJINI NYEREMBE MUNASA
MWENYEKITI WA WAKUU WA WILAYA NA MKUU WA WILAYA YA CHUNYA KINAWILO
JAJI ATUGANILE NGWALA
KATIBU WA CCM MKOA WA MBEYA MWANGI RAJABU
VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MKUU WA MKOA WA MBEYA ABASS KANDORO
HABARI SOMA HAPA
NA Charles Abraham
WATU NA VIONGOZI MBALIMBALI WA SERIKALI, SIASA NA DINI WALIOHUDHURIA SHEREHE HIZO
MKUU WA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA AHMED MSANGI AMBAE ALIKUA KIVUTIO KIKUBWA KATIKA SHEREHE HIZO
MKUU WA WILAYA MPYA MBEYA MJINI NYEREMBE MUNASA
MWENYEKITI WA WAKUU WA WILAYA NA MKUU WA WILAYA YA CHUNYA KINAWILO
JAJI ATUGANILE NGWALA
KATIBU WA CCM MKOA WA MBEYA MWANGI RAJABU
VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MKUU WA MKOA WA MBEYA ABASS KANDORO
HABARI SOMA HAPA
NA Charles Abraham
Wakuu wa
wilaya mkoani Mbeya wametakiwa kutotengeneza makundi katika 0fisi zao mpya,
Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Mbeya ABASS KANDORO katika Sherehe za
kuwaapisha wakuu wa wilaya wapya.
“Hamuwezi
kuwa viongozi wa wilaya bila kushirikiana na viongozi wengine kashirikiane nao
kwa kuwa wao wana wafuasi wengi watawasaidia kuongoza kama kuna mtu hataki atakae umia ni yeye, ambacho sikitaki
kwenu ni kwenda kutengeneza makundi maana nimeambiwa kuna wengine tayari
mmeanza kuelezwa mambo kutoka kwa baadhi ya watu msiwasikilize kwa kuwa wote ni watu wenu.
KANDORO
ameongeza kuwashukuru wakuu wa wilaya waliohamishwa vituo vya kazi kwa kazi zao
nzuri katika maeneo yao wanayo toka kwamba wanakoendenda wakaendeleze mambo
mazururi waliyokuwa wakifanya katika wilaya zao wanazoziende
Nae meya wa
jiji la Mbeya ATANASI KAPUNGA amesema Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania JAKAYA
KIKWETAE amewachagua wakuu wa wilaya hao
kwa lengo la kuhakikisha kuwa chama cha
mapinduzi (CCM) kinashinda katika uchaguzi mkuu ujao.
Pia mkuu wa
wilaya mpaya wilaya ya Mbeya mjini NYEMBE MUNASA amewashukuru wale wote
waliohudhuria sherehe hizo za kuapishwa kwao na kuahidi kuenzi kazi zote zilizo
kua zikifanywa na wakuu hao waliopita na kuendeleza zile ambazo hawakukamilisha
katika muda waliokuwepo.
Mwisho
0 comments:
Post a Comment