Pages

Ads 468x60px

Wednesday, April 1, 2015

Jeshi la polisi Mbeya wahaha usiku kutafuta pikipiki nne zilizo ibiwa na kulipotiwa kufichwa katika moja ya nyumba zizlizopo huko Nonde na kuambulia patupu



Wamiliki wavamia na kuvunja makufuri ya kila nyumba walizo hisi kuwepo kwa pikipiki hizo


Ni usiku wa giza nene ambao umoja wa waendesha bodaboda na wamiliki walipovamia mtaa wa Mbwile (B) kata ya Nonde wakitafuta pikipiki nne zilizoibwa nakulipotiwa kufichwa katika nyumba za mitaa hiyo

       Madereve wa bodaboda wakizunguka kila kona wakitafuta wapi zimefichwa


zoezi la kubomoa makufuri na milango ikiendelea na kuiingia ndani kila nyumba waliyohisi kuwepo kwa pikipiki hizo.


Askali wa jeshi la polisi walifika eneo la tukio na kusimamia zoezi hilo japo halikuzaa matunda kwa kushindwa kupata japo pikipiki moja.

Mwenyekit wa mtaa huo mzee bukubuku akiongea na madereva hao pamoja na askali polisi akitaka kusitishwa kwa msako huo kwakua hakukuwa na uhakika wowote ni nyumba gani imetiliwa shaka.
 

0 comments:

Post a Comment