ABASSI KANDORO KUWASHUKIA MAWAKILI WA KUJITEGEMEA AWATAKA KUSHUSHA GHARAMA ZA KESI
Hayo amebaini alipokua akizidua sherehe za wiki ya sheria nchini iliyofanyika kimkoa kwa kuanzi maandamano katika jengo la ofisi za mahakama kuu zilizopo sokomatola na kuishia katika viwanjwa vya sitendi ya mabasi ya kabwe jijini mbeya
Kandoro ametoa wito huo kwa wasomi hao ili kushusha gharama hizo ILI wananchi wa kipato cha chini waweze kumudu kupata haki zao na kuepuka kuangukia katika mikono ya matapeli wa mahakama na kuibiwa pesa zao
"Nawachukia sana vishoka wa sheria wamekua wakijfanya wanaijua sana sheria kuwatapeli wananchi kwa kutaka pesa nyingi kwamba hakimu anazitaka pesa kumbe ni uongo na kusababisha kesi zichelewe na wananchi kuwachukia mahakimu bule" amesema Kandoro.
Ameongeza kutoa wito kwa wananchi wa jiji la Mbeya kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho hayo yatakayo dumu kwa siku tatu ambapo mahama itakua ikitoa elimu na msaaada wa kisheria kwa wananchi wenye shida za kisheria.
Kwa upande wake Noel Chocha jaji mfawidhi mahakama kuu kanda ya Mbeya amesema mahakama hutoa hukumu kwa kuzingatia wadau mbalimbali wakiwepo
Polisi, Takukuru, huduma kwa jamii, mawakili wa serikali na kujitegemea pamoja na watumishi wa magereza hivyo si hakimu pekee anae husika katika kutoa hukumu.
Sherehe hizo zimezinduliwa leo zita dumu kwa muda wa siku tatu ambapo zitaendelea kutoa huduma za elimu na ushaur katika stendi ya kabwa na nanenane na kilele chake kimkoa zitafanyika katika ofisi za mahakama kuu zilizopo sokomatola jiji hapa tarehe 04 feb 2016 kuanzia saa 02:30 asubuhi
Habari na Charles Abraham
JAJI MFAWIDHI MAHAKAMA KUU KANDA YA MBEYA NOELI CHOCHA AKISEMA NENO WAKATI WA KUMKARIBISHA MGENI RASMI
MTENDAJI WA MAHAKAMA MOSES MWIDETE AKISHEREHESHA SHREHE HIZO
WATUMISHI WA MAHAKAMA WAKISHIDANA KUCHEZA KWAITO
BAADHI YA WATUMISHI WA MAHAKAMA WALIOHUDHURIA SHEREHE HIZO
JAJI DR, MARY CAROLINE LEVIRA
JAJI JOYCE NGWALA
WATUMISHI WA MAHAKAMA MAHAKIMU,MAWAKILI WA SERIKALI NA WAKUJITEGEMEA WALIOSHRIKI SHUGHURI ZA SHEREHE ZA WIKI YA SHERIA NCHINI
SHEREHE ZILIANZA KWA MAANDAMANO KUTOKEA OFISI ZA MAHAKAMA KUU SOKOMATOLA LUELEKEA MWANJELWA KATIKA STENDI YA KABWE
SHEREHE ZILIPAMBWA NA KIKUNDI CHA SEREKASI CHA KIHUMBE
Hayo amebaini alipokua akizidua sherehe za wiki ya sheria nchini iliyofanyika kimkoa kwa kuanzi maandamano katika jengo la ofisi za mahakama kuu zilizopo sokomatola na kuishia katika viwanjwa vya sitendi ya mabasi ya kabwe jijini mbeya
Kandoro ametoa wito huo kwa wasomi hao ili kushusha gharama hizo ILI wananchi wa kipato cha chini waweze kumudu kupata haki zao na kuepuka kuangukia katika mikono ya matapeli wa mahakama na kuibiwa pesa zao
"Nawachukia sana vishoka wa sheria wamekua wakijfanya wanaijua sana sheria kuwatapeli wananchi kwa kutaka pesa nyingi kwamba hakimu anazitaka pesa kumbe ni uongo na kusababisha kesi zichelewe na wananchi kuwachukia mahakimu bule" amesema Kandoro.
Ameongeza kutoa wito kwa wananchi wa jiji la Mbeya kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho hayo yatakayo dumu kwa siku tatu ambapo mahama itakua ikitoa elimu na msaaada wa kisheria kwa wananchi wenye shida za kisheria.
Kwa upande wake Noel Chocha jaji mfawidhi mahakama kuu kanda ya Mbeya amesema mahakama hutoa hukumu kwa kuzingatia wadau mbalimbali wakiwepo
Polisi, Takukuru, huduma kwa jamii, mawakili wa serikali na kujitegemea pamoja na watumishi wa magereza hivyo si hakimu pekee anae husika katika kutoa hukumu.
Sherehe hizo zimezinduliwa leo zita dumu kwa muda wa siku tatu ambapo zitaendelea kutoa huduma za elimu na ushaur katika stendi ya kabwa na nanenane na kilele chake kimkoa zitafanyika katika ofisi za mahakama kuu zilizopo sokomatola jiji hapa tarehe 04 feb 2016 kuanzia saa 02:30 asubuhi
Habari na Charles Abraham
JAJI MFAWIDHI MAHAKAMA KUU KANDA YA MBEYA NOELI CHOCHA AKISEMA NENO WAKATI WA KUMKARIBISHA MGENI RASMI
MTENDAJI WA MAHAKAMA MOSES MWIDETE AKISHEREHESHA SHREHE HIZO
WATUMISHI WA MAHAKAMA WAKISHIDANA KUCHEZA KWAITO
BAADHI YA WATUMISHI WA MAHAKAMA WALIOHUDHURIA SHEREHE HIZO
JAJI DR, MARY CAROLINE LEVIRA
JAJI JOYCE NGWALA
WATUMISHI WA MAHAKAMA MAHAKIMU,MAWAKILI WA SERIKALI NA WAKUJITEGEMEA WALIOSHRIKI SHUGHURI ZA SHEREHE ZA WIKI YA SHERIA NCHINI
SHEREHE ZILIANZA KWA MAANDAMANO KUTOKEA OFISI ZA MAHAKAMA KUU SOKOMATOLA LUELEKEA MWANJELWA KATIKA STENDI YA KABWE
SHEREHE ZILIPAMBWA NA KIKUNDI CHA SEREKASI CHA KIHUMBE
0 comments:
Post a Comment