Mkuu wa Wilaya Kinondoni Mhe. Ally Hapi akikagua matengenezo ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi.
Mkuu
wa wilaya Kinondoni Ally Salum Hapi wa kwanza kulia hakipata maelezo
kutoka kwa msimamizi wa ujenzi wa barabara ya Ali Hassani Mwinyi Halipo
tembelea leo kuona maendeleo ya ujenzi wa barabara hiyo.
Mkuu wa Wilaya Kinondoni Mhe. Ally Hapi akiwa na wafanyakazi wa MS ESTIM CONSTRUCTION CO.LTD.
Mkuu wa wilaya Mhe.Ally Hapi akiongea na msimamizi wa ujenzi.
Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi kushoto akiwa na meneja wa Tanroad
katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi leo tarehe 25 Aprili 2016.
0 comments:
Post a Comment