Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akifungua mkutano kuhusu kuwezesha wanawake kiuchumi katika nchi za
Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika. Mkutano huo umeandaliwa na
Jopo la Ngazi ya Juu la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon
alilolituewa Mwanzoni mwa huu, kusaidia kufanya uchambuzi na kutoa
mapendekezo ya namna ya kuchagiza kasi ya kuwezesha wanawake kiuchumi
ifikapo 2030. |
0 comments:
Post a Comment