Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Usafirishaji ya UDA-RT Bw. David Mgwassa
(Kushoto) akimshukuru Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa
Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) Bw. Giliard Ngewe baada ya kupokea leseni
ya usafirishaji kutoka SUMATRA.
0 comments:
Post a Comment