Pages

Ads 468x60px

Tuesday, August 22, 2017

Mwanajeshi mmarekani aliyeasi na kuhamia Korea Kaskazini mwaka 1962 afariki dunia

This handout taken in May 2005 and released on August 21, 2017 shows James Joseph Dresnok, a US defector to North Korea, in an unknown location.
James Dresnok mwanejeshi wa mwisho wa Marekani anafahamika kuinshi nchini Korea Kaskanizi, alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 74 mwaka uliopita, kwa mjibu wa watoto wake.

Watoto wake Bw. Dresnok walisema kuwa alikuwa mtiifu kwa Korea Kaskazini hadi mwisho, kwenye mahojiano ya video iliyochapishwa wiki iliyopita.

Baada ya kuvuka na kuingia Korea Kaskazini mwaka 1962, alianza kuishi maisha yasiyo ya kawaida mjini Pyongyang.

0 comments:

Post a Comment