Pages

Ads 468x60px

Monday, November 20, 2017

WAZAZI NA WALEZI WAKUBALIANA KUONDOA CHANGAMOTO ZILIZO CHANGIA SHULE YA SEKONDARI YA NSOHO KUFANYA VIBAYA KATIKA MITIHANI YA TAIFA MWAKA JANA

Elly Chalalika mkazi wa kata ya Nsoho akichangia Hoja wa kati wa mdaharo


                                 Malisia Sanga akichangia hoja
Ester msemwa akichangia hoja


CIV Tabita Bugali mchokoza mada yenye lengo la kujadili changamoto za Elimu Bora katika shule ya Sekondari Nsoho
Kaimu Afisa Elimu Sekondari Jiji la Mbeya Mjini Pascal Obeid  akiwasilisha mada ya Elimu Bora  katika mdaharo
      Mratibu wa Dawati la Jinsia Kutoka Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya Mary Gumbo akiwasilisha  mada ya ukatili wa kinsia kwa watoto katika mdaharo
Mkuu wa shule Timoti Mwankusye Akitoa Taarifa  ya maendeleo Taaluma ya Shule ya Sekondari Nsoho
Afisa mtendaji wa kata ya Nshoho Erasto Mwankenja

Diwani wa Ghana Fabiani Sanga akitoa ufafanuzi baadhi ya hoja zilizo ibuka katika mdaharo
Mwenyekiti wa Bodi ya Sule Lutimo Ndagamsu  akisisitiza Jambo katika mdaharo
Mwanafunzi wa kidato cha Kwanza Ridhiwani Juma akiomba wazazi na walezi  kujitolea kujenga mabweni ili kuondokana na adha ya kutembea umbali mlefu kwenda Shuleni
Mwanafunzi wa kidato cha Kwanza Sekondari ya Nsoho akishiriki kujadili Changamoto Zinazo ikabili shule hiyo
CIV Juvenary Ngaiza mwanahari Rafiki wa Elimu Akisema jambo
Maratibu wa Mdaharo Mwanahabari Rafiki wa Elimu Charles Mwaipopo Akiongoza majadiliano katika mdaharo

0 comments:

Post a Comment