Pages

Ads 468x60px

Tuesday, June 26, 2012


Askofu wa kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la kusini maghari ALINIKISA CHEYO amewataka wananchi kujitokeza kuhesabiwa katika sensa itakayofanyika  Augost/2012
Ametoa Rai hiyo katika Tamasha lililo andaliwa na chuo kikuu cha theofilo kisanji jijini mbeya kwa malengo ya kupata kiasi cha 500 milion kwa ajili ya kujenga hoster ya wasichana chuoni hapo, Ili kuwaepusha na vitendo vinavyoshawishi uwovu wanavyo kutana navyo wanapokuwa wamejipangia mbali na chuo.
“Ninawaomba wananchi kujitokeza kuhesabiwa mwaka huu kwakuwa ni swala la kibiblia ni vema siku ya kuhesabiwa wawepo nyumbani ili serikali ipate hesabu ya wananchi wake na kupanga maendeleo kwa kulingana na idadi ya watu wake” Amesema cheyo.
Tamsha hilo lilihudhuliwa na viongozi mbalimbali wa dini na serikali,Pia binafsi na kwaya zilitumbuiza na kulipamba kama vile AIC SHINYANGA,MBEYA MORAVIANI TOWN CHOIR(campuny),WITO CHOIR, SOLOMONO MKUBWA,EFRAIMU MWANSASU, BILI KUWASAHAU MASANJA MKANDAMIZAJI, NAWENGINE WENGI.
Askofu wa kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Alinikisa Cheyo akiwasili uwanja wa sokoine

 Wageni Mbalimbali walio hudhuria Harambee ya uchangiaji wa ujenzi wa Hostel ya wasichana chuo kikuu cha Theofilo kisanji jijini Mbeya wakiongozwa na Askofu Lusekelo Mwakafwila toka jimbo la kusini

Kwaya Maarufu jijini Mbeya (Mbeya Moraviani Town Choir KAMPUNI) ikionyesha Umahili wake katika kumtumikia mungu kwa njia ya nyimbo.
 Askofu Cheyo Akisoma risala na kuwaongoza wageni waalikwa kuchangia chuo kikuu Theofilo kisanji   

0 comments:

Post a Comment