Pages

Ads 468x60px

Saturday, September 29, 2012

MJUMBE WA HALMASHAURI YA CHADEMA MKOA WA MBEYA APEWA KIBANO BAADA YA KUJIPENYEZA KATIKA MKUTANO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI NGAZI YA WILAYA YA MBEYA MJINI

MMOJA WA POLISI AKIJARIBU KUMUOKO KUTOKA KWA MAKADA WA CCM
BWANA SWILA WILIAM KATIKATI AKIONDALEWA NA POLISI BAADA YA KUPATA KIPIGO NA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI


MTU MMOJA ANAYESADIKIWA KUWA MWANACHAMA WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHEDEMA) AMEJIKUTA KATIKA WAKATI MGUMU WA KUPATA KIPIGO NA WANAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) BAADA YA KUVAMIA MKUTANO WAO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI NGAZI YA WILAYA

MTU HUYO ALIEJULIKANA KWA JINA LA SWILA WILIAMU MKAZI WA KALOBE MWENYE UMLI WA MIAKA 50 NA  NI MKUU WA SHULE YA SEKONDARI MSHEWE AMEKUMBWA NA MKASA HUO BAADA YA KUINGIA KATIKA MKUTANO KWA KITAMBULISHO CHA AFISA USALAMA WA TAIFA BILA KUJUA KUWA ANAJULIKANA NA BAADHI YA WANACHAMA WA (CCM)

BWANA WILIAM BAADA YA KUOKOLEWA NA JESHI LAPOLISI ANASHIKILIA NA JESHI HILO KWA KUPATA MAELEZO ZAIDI



0 comments:

Post a Comment