Pages

Ads 468x60px

Thursday, August 29, 2013

BREAKING NEWS......ASKOFU MOSES KULOLA AFARIKI DUNIA

moses_b8f0d.jpg
TAARIFA zilizotufikia hivi punde zimesema kuwa Askofu Moses Kulola amefariki dunia.

Chanzo chetu cha kuaminika ambazo kimesema, Askofu Kulola amefariki katika hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam.
Askofu Kulola, ambaye amezaliwa mwaka 1928, alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu na hata kufikia hatua ya kupelekwa nchini India kwa matibabu.

Katika uhai wake, amepata watoto wengi wa kiroho ikiwemo Dr Daniel Kulola, Mchungaji Florian Katunzi, Zakaria Kakobe, Mzee wa Upako, Maboya, Mwasota na wengineo wengi.
KATIKA PICHA
ALIPOKUWA MGONJWA
KATIKA MKUTANO WA INJILI
ALIPOKUWA NCHINI  ISRAEL

0 comments:

Post a Comment