Pages

Ads 468x60px

Monday, September 22, 2014

MBEYA CITY YAANZA NA SALE NYUMBANI DHIDI YA JKT RUVU



Imani za kishilikina za husika, mlinda mlango wa Jkt Ruvu ashindwa kumaliza mchezo huo atolewa uwanjani baada ya kupingwa upofu.
 Kipa wa Jkt Ruvu Jacson chove akiruka na beki wake kisha kuanguka chini kisha kushindwa kuona na kisha kutolewa nje ya uwanja


                   Madaktari wa timu hiyo wakijalibu kumpatia matibubu laiki ilishindikana kuona
 Baadhi ya wachezaji wenzake wakijaribu kumsihii ajikaze ili amalizie dakika zilizosalia lakini alikataa
                                 Sioniiiiiii siweziiiii baadhi ya maneno aliyotaka chove
                               Hapakua na jinsi chove alitoka nje ya uwanja huku akilia


                                   Matukio ya kuumia yalivyo kua katika mchezo huo












                            Matukio mbalimbali ya mchezo kati ya mbeya city na Jkt Ruvu








                                       Mwashabiki wa waliohudhulia katika mchezohuo

                     Kamanda wa polisi mkoa wa mbeya Ahmed Msangi akiwasili uwanjani hapo

Baadhi ya mashabiki wakieleza hisia zao za kutokubalina na matokeo wengine wakitokwa na machozi kwa timu yao kutoka sale


                                                          HABARI SOMA HAPA


MBEYA CITY YAANZA NA SALE NYUMBANI DHIDI YA JKT RUVU

Imani za kishilikina za husika, mlinda mlango wa Jkt Ruvu atolewa uwanjani baada ya kushindwa kuona.

Timu ya mpira wa miguu mkoani Mbeya, Mbeya city imeanza michuano ya Vodacom kwa kusuasua baada ya kutoka sale ya bila kufungana na timu ya Jkt ruvu ya jijini dare s salaam ikiwa kiwanja cha nyumbani

Michuano hiyo iliyozinduliwa jumamosi hii ya 20 september katika viwanja mbalimbali nchini, Mbeya city ilianza kwa kuwa karibisha Jkt ruvu katika kiwanja cha kumbukumbu ya sokoine jijini Mbeya.

Katika mechi hiyo Mbeya city haikuonesha mchezo uliozoeleka kwa mashabiki wake ambao hua unakua kivutio kwa kile kinacho itwa amsha amsha na kupelekea matokeo ya sele kati yake na timu pinzani huku wakiwa wenyeji wa mchezo huo.

Baadhi ya mashabiki wa timu hiyo akiwepo Andulile mwakaje kutoka Tunduma ameutaka uongozi wa mbeya city kujipanga vizuri katika  michezo inayofuata kwani kiwango kilicho oneshwa na timu hiyo si cha kulidhisha sana ili kuleta upinzani uliokuwepo msimu uliopita

“Sisi na mashabiki wa Mbeya city ukweli hatujalidhishwa na jinsi amba vyo timu yetu imeonesha mchezo wa leo kwani sio kiwango chake ilicho kionesha msimu uliopita tunaomba uongozi uliangalie upya na kujipanga katika michezo inayo fuata” amesema mwakaje

Pamoja na hayo ndani ya mechi hiyo kikwazo kikubwa cha Mbeya city kilikua kwa mlinda mlango wa Jkt ruvu  Jacson chove ambae alikua kivutio sana kwa watazamaji wa mchezo huo kwakupangua mashuti kadhaa yaliyoelekezwa katika timu yake.

Baadhi ya mashuhuda walishangazwa na kitendo cha mlinda mlango huyo kushindwa kumaliza mchezo huo baada ya kutolewa nje ya uwanja kwa sababu ya kushindwa kuona

Shuhuda huyo  ambae hakutaka kutajwa jina lake amesema ameona mtu akitupa kitu mfano wa hilizi muda mchache kabla ya tukio hilo. Lililopelekea watu kuamini kuwa na imani za kishilikina.

Katika mechi hiyo mlinda mlango wa jkt ruvu Chove alishinda kumalia mchezo huo kabla ya dakika 15 kuisha kwa mechi hiyo alipoa angukachini  baada ya kugongana na beki wake na kisha  kushindwa kuona, Na mwisho wamchezo huo timu zote mbili zilishindwa kutambiana Kwa kutoka sale ya bila kufungana.   



0 comments:

Post a Comment