Imani za kishilikina za husika,
mlinda mlango wa Jkt Ruvu ashindwa kumaliza mchezo huo atolewa uwanjani baada ya kupingwa upofu.
Kipa wa Jkt Ruvu Jacson chove akiruka na beki wake kisha kuanguka chini kisha kushindwa kuona na kisha kutolewa nje ya uwanjaMadaktari wa timu hiyo wakijalibu kumpatia matibubu laiki ilishindikana kuona
Baadhi ya wachezaji wenzake wakijaribu kumsihii ajikaze ili amalizie dakika zilizosalia lakini alikataa
Sioniiiiiii siweziiiii baadhi ya maneno aliyotaka chove
Hapakua na jinsi chove alitoka nje ya uwanja huku akilia
Matukio ya kuumia yalivyo kua katika mchezo huo
Matukio mbalimbali ya mchezo kati ya mbeya city na Jkt Ruvu
Mwashabiki wa waliohudhulia katika mchezohuo
Kamanda wa polisi mkoa wa mbeya Ahmed Msangi akiwasili uwanjani hapo
Baadhi ya mashabiki wakieleza hisia zao za kutokubalina na matokeo wengine wakitokwa na machozi kwa timu yao kutoka sale
HABARI SOMA HAPA
MBEYA CITY
YAANZA NA SALE NYUMBANI DHIDI YA JKT RUVU
Imani za kishilikina za husika,
mlinda mlango wa Jkt Ruvu atolewa uwanjani baada ya kushindwa kuona.
Timu ya
mpira wa miguu mkoani Mbeya, Mbeya city imeanza michuano ya Vodacom kwa
kusuasua baada ya kutoka sale ya bila kufungana na timu ya Jkt ruvu ya jijini dare
s salaam ikiwa kiwanja cha nyumbani
Michuano hiyo
iliyozinduliwa jumamosi hii ya 20 september katika viwanja mbalimbali nchini,
Mbeya city ilianza kwa kuwa karibisha Jkt ruvu katika kiwanja cha kumbukumbu ya
sokoine jijini Mbeya.
Katika mechi
hiyo Mbeya city haikuonesha mchezo uliozoeleka kwa mashabiki wake ambao hua
unakua kivutio kwa kile kinacho itwa amsha amsha na kupelekea matokeo ya sele
kati yake na timu pinzani huku wakiwa wenyeji wa mchezo huo.
Baadhi ya
mashabiki wa timu hiyo akiwepo Andulile mwakaje kutoka Tunduma ameutaka uongozi
wa mbeya city kujipanga vizuri katika michezo inayofuata kwani kiwango kilicho
oneshwa na timu hiyo si cha kulidhisha sana ili kuleta upinzani uliokuwepo
msimu uliopita
“Sisi na
mashabiki wa Mbeya city ukweli hatujalidhishwa na jinsi amba vyo timu yetu
imeonesha mchezo wa leo kwani sio kiwango chake ilicho kionesha msimu uliopita
tunaomba uongozi uliangalie upya na kujipanga katika michezo inayo fuata” amesema
mwakaje
Pamoja na
hayo ndani ya mechi hiyo kikwazo kikubwa cha Mbeya city kilikua kwa mlinda
mlango wa Jkt ruvu Jacson chove ambae
alikua kivutio sana kwa watazamaji wa mchezo huo kwakupangua mashuti kadhaa
yaliyoelekezwa katika timu yake.
Baadhi ya
mashuhuda walishangazwa na kitendo cha mlinda mlango huyo kushindwa kumaliza
mchezo huo baada ya kutolewa nje ya uwanja kwa sababu ya kushindwa kuona
Shuhuda huyo
ambae hakutaka kutajwa jina lake amesema
ameona mtu akitupa kitu mfano wa hilizi muda mchache kabla ya tukio hilo. Lililopelekea
watu kuamini kuwa na imani za kishilikina.
Katika mechi
hiyo mlinda mlango wa jkt ruvu Chove alishinda kumalia mchezo huo kabla ya
dakika 15 kuisha kwa mechi hiyo alipoa angukachini baada ya kugongana na beki wake na kisha kushindwa kuona, Na mwisho wamchezo huo timu
zote mbili zilishindwa kutambiana Kwa kutoka sale ya bila kufungana.
0 comments:
Post a Comment