Matukio katika picha mchezo wa mbeya city na Azam fc
Wachezaji wa timu ya Azam fc wakishangilia goli
Ulinzi ukiwa umeimalishwa
Mashabiki mbeya city wakilia baada timu ao kufungwa
Mashabiki wakiongea kwa uchungu baada ya timu yao kufungwa
Habari kamili
Maka Mwalwisi ndie mchawi wa Mbeya
city?
Mashabiki wamtafuta mchawi, kwani
hali si shwali msimu huu kwao
Yachezea kichapo na wana lambalamba
Azam fc kiwanja cha nyumbani
Katika hali
isiyo ya kawaida msimu huu Timu ya Mbeya city iliyo tamba sana msimu uliopita
kwa msemo usemao ukiingia hutoki hali hiyo imegeuka na kua ukiingia upetupata
baada ya michezo yate iliyocheza katika uwanja wanyumbani haijaonesha makali
yake.
Timu hiyo
ilipandaraja msimu uliopita na kuonesha kiwango cha juu sana chenye ushundani
na kumaliza msimu huo kwa kushika nafasi ya tatu ikiongozwa wanalambalamba hao
ambao wameendelea kuwanyima raha Mbeya city wakiwa katika kiwanja cha nyumbani
Mbeya city
wamekwisha cheza michezo minne wame droo michezo miwili, wameshinda mchezo
mmoja na kupoteza mchezo mmjoa kati yake na Azam fc kwa kichapo cha 1-0 na
kuifanya timu hiyo kushindwa kutamba kwa mala nyingine tena ikiwa nyumbani.
Baadhi ya
mashabiki wa timu hiyo wamekua na maoni mbalimbli ikiwepo kuhoji kwamba mwanzo
huo usio wa kulidhisha kumesababishwa na aliekua mwalimu namba mbili Maka
mwalwisi ambae hakusaini mkataba msimu huu na kutimkia Panoni ya Moshi,Ambako
amenyakua nafasi ya kua kocha mkuu wa timu hiyo
Kwa matokeo
hayo baadhai ya mashabiki walitoka uwanjani hapo wakiwa wameinamisha nyuso zao
chini huku wengine wakitokwa na machozi kuashilia kuumia kwa mwenendo wa timu
yao na kusababisha utulivu mkubwa katika jiji la Mbeya mabalo huzizima timu hio
wanapopata ushindi.
Kwa upande
wa kocha wa timu hiyo Juma mwambusi amesema katika mchezo wowote kuna matokeo
matatu kushinda, kutoa sale na kufungwa, kati ya hayo wanakubaliana na matokeo
lakini wanajipanga vizuri michezo ijayo.
MWISHO
0 comments:
Post a Comment